Ubena Zomozi
JF-Expert Member
- Jun 19, 2022
- 1,608
- 1,286
Lakin ww Genta....wajameniii🤣🤣.... Ulivyompamba Mukwala hapa alooh... Nikajua mawigi ya dada zetu tuyafungie baindingi waya yasipeperushwe 😜😜Mimi na Poti wangu CM hatuhusiki nao kwani ni Wabishi.
Usinikariri....!!Lakin ww Genta....wajameniii🤣🤣.... Ulivyompamba Mukwala hapa alooh... Nikajua mawigi ya dada zetu tuyafungie baindingi waya yasipeperushwe 😜😜
shida inaanzia hapaShida ni kwamba, ukiona Simba inacheza unaona timu haina tatizo iko vizuri tu, ni matatizo madogo madogo.
Daah,
Ukija kuiona Yanga unaona kabisa Simba wanacheza ujinga na hawako serious[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Naunga mkono hoja. Huwezi nunua mchezaji July halafu August ukasema hafai.Nikiambiwa kwa sasa nitoe Alama za Kikosi cha Simba SC cha sasa baada ya Kukiona natoa ni 10% tu, ila 90% Kibovu.
Wewe siyo Kuku brain, wapo wanaosema kuna watu wanahujumu kwenye usajili wa chupli chupli.Na Mashabiki wenye 'Kuku Brain' tuko wengi huko.
Mtanzania hana umoja linapokuja suala la maslahi muhimu. Si mpira tu hata nchi yake, ila kwenye mambo ya hovyo utawaonaNikiambiwa kwa sasa nitoe Alama za Kikosi cha Simba SC cha sasa baada ya Kukiona natoa ni 10% tu, ila 90% Kibovu.
Sahihi kabisa hasa yule mtambulisha Dada zake🤣🤣
Tatizo simba propaganda nyingi kuliko utendaji!
Mbinu na matendo ya siasa yabaki hukohuko kwenye siasa. Soka huwa halitaki hayo mambo ya kususa susa. Huwa tunatoa tu maoni na kutoa muda kwa timu kuyafanyia kazi. Basi.Nikiambiwa kwa sasa nitoe Alama za Kikosi cha Simba SC cha sasa baada ya Kukiona natoa ni 10% tu, ila 90% Kibovu.
Soma Pia:
Ligi ikianza watu watatukanana na kununiana msimu mzima,. Msimu ukishaisha MO atatangaza tena kuwa “sasa narudi Simba”, mashabiki nao wataipokea na kuanza kumuimba “Bosi Karudi” kuongoza Simba raha😅, just wela watu wakuwa wanaanzisha nyimbo uzitakazo tuNikiambiwa kwa sasa nitoe Alama za Kikosi cha Simba SC cha sasa baada ya Kukiona natoa ni 10% tu, ila 90% Kibovu.
Soma Pia:
AaahaaaShida ni kwamba, ukiona Simba inacheza unaona timu haina tatizo iko vizuri tu, ni matatizo madogo madogo.
Daah,
Ukija kuiona Yanga unaona kabisa Simba wanacheza ujinga na hawako serious🤣🤣🤣