Ili kuweka tangazo katika gazeti la serikali natakiwa kufuata hatua gani?

Ili kuweka tangazo katika gazeti la serikali natakiwa kufuata hatua gani?

Mr Water Tz

New Member
Joined
Apr 2, 2022
Posts
4
Reaction score
1
Naomba kuuliza, ni hatua gani napaswa kuzifuata ninapohitaji kutoa tangazo katika gazeti la serikali ?
 
Naomba kuuliza, ni hatua gani napaswa kuzifuata ninapohitaji kutoa tangazo katika gazeti la serikali ?
kama upo dsm Nenda pale darajani karibu na wizara ya maliasili gharama yao 20000 utajaza fomu ndio wanatangaza
 
Piga hizo simu
Screenshot_20220403-181223.jpg
 
Back
Top Bottom