Mr Water Tz
New Member
- Apr 2, 2022
- 4
- 1
Naomba kuuliza, ni hatua gani napaswa kuzifuata ninapohitaji kutoa tangazo katika gazeti la serikali ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kama upo dsm Nenda pale darajani karibu na wizara ya maliasili gharama yao 20000 utajaza fomu ndio wanatangazaNaomba kuuliza, ni hatua gani napaswa kuzifuata ninapohitaji kutoa tangazo katika gazeti la serikali ?
Nipo mkoani, nafanyjkama upo dsm Nenda pale darajani karibu na wizara ya maliasili gharama yao 20000 utajaza fomu ndio wanatangaza
Asante sanaPiga hizo simuView attachment 2174385