Mr Water Tz New Member Joined Apr 2, 2022 Posts 4 Reaction score 1 Apr 2, 2022 #1 Naomba kuuliza, ni hatua gani napaswa kuzifuata ninapohitaji kutoa tangazo katika gazeti la serikali ?
Naomba kuuliza, ni hatua gani napaswa kuzifuata ninapohitaji kutoa tangazo katika gazeti la serikali ?
chapangombe JF-Expert Member Joined Sep 28, 2014 Posts 374 Reaction score 325 Apr 2, 2022 #2 Mr Water Tz said: Naomba kuuliza, ni hatua gani napaswa kuzifuata ninapohitaji kutoa tangazo katika gazeti la serikali ? Click to expand... kama upo dsm Nenda pale darajani karibu na wizara ya maliasili gharama yao 20000 utajaza fomu ndio wanatangaza
Mr Water Tz said: Naomba kuuliza, ni hatua gani napaswa kuzifuata ninapohitaji kutoa tangazo katika gazeti la serikali ? Click to expand... kama upo dsm Nenda pale darajani karibu na wizara ya maliasili gharama yao 20000 utajaza fomu ndio wanatangaza
Mr Water Tz New Member Joined Apr 2, 2022 Posts 4 Reaction score 1 Apr 2, 2022 Thread starter #3 Nipo mkoani, nafanyj ?
Mr Water Tz New Member Joined Apr 2, 2022 Posts 4 Reaction score 1 Apr 2, 2022 Thread starter #4 chapangombe said: kama upo dsm Nenda pale darajani karibu na wizara ya maliasili gharama yao 20000 utajaza fomu ndio wanatangaza Click to expand... Nipo mkoani, nafanyj
chapangombe said: kama upo dsm Nenda pale darajani karibu na wizara ya maliasili gharama yao 20000 utajaza fomu ndio wanatangaza Click to expand... Nipo mkoani, nafanyj
chapangombe JF-Expert Member Joined Sep 28, 2014 Posts 374 Reaction score 325 Apr 3, 2022 #5 Piga hizo simu
Mr Water Tz New Member Joined Apr 2, 2022 Posts 4 Reaction score 1 Apr 4, 2022 Thread starter #6 chapangombe said: Piga hizo simuView attachment 2174385 Click to expand... Asante sana