Ili kuweza kuachana na Adha za Ualimu

Ili kuweza kuachana na Adha za Ualimu

MAULA

JF-Expert Member
Joined
Apr 6, 2012
Posts
1,056
Reaction score
170
Wanajamvi hasa walim serikal haiwezi hata siku moja kuboresha maslai ya walim zaid inazid kuwarundikia mizigo
Mf mwaka huu kuna BIG RESULT NOW
NA BUSSINES AN USSUAL
huu ni mzigo kwani sio dawa kwa vilaza tuloletewa kwa wastan wa 70 kutoka la saba na wastan wa 07 kutoka form Two
Na kauri yao KAMA HUWEZI UWAPISHE sijui uende wapi
Ikiwemo pia mwalim umekua unahuruma ukifundisha biology na chemistry form 1 to 4

Kiukweri nzia za kuepukana na shida za ualim ni.........
i)kuuhama ualim
ii)kuteuriwa kuwa kiongozi wa ngaz za juu mf Afisa elim wilaya
iii)na kuacha kazi

Lakin vnginevyo hatuwezi epuka shida za ualim na hazitaishaaa
 
Dawa ya tatizo ni kulitatua siyo kukimbia umeona Kenya wiki inaenda ya tano walimu wamegoma mpaka shule za government zimefungwa kwahyo hata Tanzania walimu wakiamua wanaweza hakuna kisichowezekana chini ya jua
 
Kwan Ulilazmishwa Kuwa Mwalimu?km Vp Mbinu Bora N Hyo Kuacha Kaz,uone Kaz Kupata Kaz
 
Temana na hii Tasnia..... Wafa bureee kama ifuatavyo!
 
wanajamvi hasa walim serikal haiwezi hata siku moja kuboresha maslai ya walim zaid inazid kuwarundikia mizigo
mf mwaka huu kuna big result now
na bussines an ussual
huu ni mzigo kwani sio dawa kwa vilaza tuloletewa kwa wastan wa 70 kutoka la saba na wastan wa 07 kutoka form two
na kauri yao kama huwezi uwapishe sijui uende wapi
ikiwemo pia mwalim umekua unahuruma ukifundisha biology na chemistry form 1 to 4

kiukweri nzia za kuepukana na shida za ualim ni.........
I)kuuhama ualim
ii)kuteuriwa kuwa kiongozi wa ngaz za juu mf afisa elim wilaya
iii)na kuacha kazi

lakin vnginevyo hatuwezi epuka shida za ualim na hazitaishaaa
namba 1 na 3 ndio suluhisho
 
Wanajamvi hasa walim serikal haiwezi hata siku moja kuboresha maslai ya walim zaid inazid kuwarundikia mizigo
Mf mwaka huu kuna BIG RESULT NOW
NA BUSSINES AN USSUAL
huu ni mzigo kwani sio dawa kwa vilaza tuloletewa kwa wastan wa 70 kutoka la saba na wastan wa 07 kutoka form Two
Na kauri yao KAMA HUWEZI UWAPISHE sijui uende wapi
Ikiwemo pia mwalim umekua unahuruma ukifundisha biology na chemistry form 1 to 4

Kiukweri nzia za kuepukana na shida za ualim ni.........
i)kuuhama ualim
ii)kuteuriwa kuwa kiongozi wa ngaz za juu mf Afisa elim wilaya
iii)na kuacha kazi

Lakin vnginevyo hatuwezi epuka shida za ualim na hazitaishaaa
acha kwanza wewe tuone
 
Dawa ni kugeuza ofisi kuwa kijiwe cha mshahara. Fanya kazi kwa kiwango cha mshahara. Big result kwa resources zipi? Watu na miundombinu ni ileile. Fanyeni kazi kama mnavyolipwa. Usilipwe laki ukafanya kazi ya ml.
 
Back
Top Bottom