nguruka wa kig0ma
JF-Expert Member
- Jan 16, 2020
- 2,946
- 2,932
Tff hawa wachambuzi wanetokea wapi ni faida yao kwa mpira wetu?
Binafsi naona wanaongeza mitafaruku kwenye ligi na mpira wetu. Wanawafanya waamuzi wa mchezo huu kutekeleza majukumu yao kwa woga wakiogopa hukumu za wachambuzi.
Je hao waamuzi wakifanya mgomo hao wachambuzi watachesha mechi?
Kwani kinacho hao wachambuzi wamezukaje?
Wanalipa kodi kwenye kazi hiyo?
Hao wapigwe stop.
Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
Binafsi naona wanaongeza mitafaruku kwenye ligi na mpira wetu. Wanawafanya waamuzi wa mchezo huu kutekeleza majukumu yao kwa woga wakiogopa hukumu za wachambuzi.
Je hao waamuzi wakifanya mgomo hao wachambuzi watachesha mechi?
Kwani kinacho hao wachambuzi wamezukaje?
Wanalipa kodi kwenye kazi hiyo?
Hao wapigwe stop.
Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app