NitarejeleaSoma ile NB
Yaan mwaka mpya mnawaza mapenzi tu hebu achana nayoWewe si wakunicheka labda kama umekuwa na vitimbi tu!
Falsafa huwa hazifi.Aisee huyo mbona keshaokoka..π
Ukute na ww usharogwa [emoji3] enewei karogeeeeeeeeeeeUNIKOME we dada sigalagazwi..[emoji23]
πππ bora umesema weweyanamtesa sana.
Anajitahidi kujikaza kiume lakini wapi.
Yanamgaragaza mnooo.π€£π€£
Okay poah[emoji3]We mwenyewe hapo ushapigwa ile wanaita hello madam.[emoji23]
Komaa mapenzi yatakutoa tuAcheni unyumbu..π
Kipuuzi sana haka kajamaa, sijui ksnashindwa kumuacha huyo aliyekaachayanamtesa sana.
Anajitahidi kujikaza kiume lakini wapi.
Yanamgaragaza mnooo.[emoji1787][emoji1787]
Punguza hasira basiUnaweweseka na mapenzi,pole utaroga na bado utagalagazwa[emoji23]
Mapenzi hayana baunsaπMwambaa c ulikiri kuwa utakuja kivngine huu mwakaa.?
Muhuni KENZY kateseka sana na mapenzi mwaka jana na mpaka mwaka huu yanaendelea kumsumbua!Hivi mkuu jeraha la kupigwa kitu kizito na manzi yako siku ya Christmas limepona kweli? Jipe muda wa kupumzika, maana yanakupeleka resi kinyama. πππ