figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,724
- 55,906
Heshima kwenu wakuu,
View attachment 769390
Mimi huwa napenda sana mayai ya kuchemsha, ila sijajua wakati wa kuchemsha unachanganya viungo gani.
Nategemea kupata mgeni, mgeni wangu anapenda mayai ya kuchemsha na nataka nimsurprise sana..
Tatizo nikichemsha nikaweka maji mengi yanapasuka na kutuna.. Sipendi, nikiweka maji kidogo saa nyingine yanaungua au hayaivi.
Sasa naombeni maujanja yenu. Nataka mayai kuchemsha yawe na radha ya biriani au Pilau.. Yaani nataka yawe mapishi advance ambayo hajayapata kuyaona popote.
Nichemsheje mayai?
Asante kwa kujali..
Asante mkuu, ila yote haya unasababisha wewe. Kumbuka uliahidi kunifundisha kupika...Ila figganigga wewe[emoji23] haya uliyachoma au ulichemsha.
Kama unapata tabu kuchemsha mayai,uwe unayachemsha kwa mtindo wa kuyatumbukiza kwenye sufuria unayopikia chakula kingine,mfano ukiwa unapika wali unayatumbukiza kwenye sufuria ya wali,maji yakishaanza kukaukia unatoa mayai yako unaacha wali uendelee kuiva.Hapo lazima mayai yatatoka vizuri tu
Naona unatengeneza bomu la nyukliaUkitaka mayai ya kuchemsha yanoge, yachemshe usiku alafu uyale kesho yake. Au yachemshe asubuhi alafu uyale jioni. Ukiyachemsha na kuyala hapo hapo kabla 'hayajachacha' kidogo huwa hayanogi!
figganigga hili ni badiliko la kiumbo au la kikemikali? naomba jawabu tafadjaliHeshima kwenu wakuu,
View attachment 769390
Mimi huwa napenda sana mayai ya kuchemsha, ila sijajua wakati wa kuchemsha unachanganya viungo gani.
Nategemea kupata mgeni, mgeni wangu anapenda mayai ya kuchemsha na nataka nimsurprise sana..
Tatizo nikichemsha nikaweka maji mengi yanapasuka na kutuna.. Sipendi, nikiweka maji kidogo saa nyingine yanaungua au hayaivi.
Sasa naombeni maujanja yenu. Nataka mayai kuchemsha yawe na radha ya biriani au Pilau.. Yaani nataka yawe mapishi advance ambayo hajayapata kuyaona popote.
Nichemsheje mayai?
Asante kwa kujali..
Mbuzi katoliki a.k.a Kitimoto mara 3 kwa wiki kwa miezi 3-4 kafriji kasipomtoka basi tena!..kuna mdogo aliugua kwa muda mrefu sana kwa yuko sawa lakini afya bado yaan ule mwili wake wa mwanzo bado kurejea(big) kakonda sana.chakula gani anaweza kutumia ili kurudisha mwili wake kwa haraka.
Kitimoto ni chakula haramu. Nyamafu kwa jamii kubwa sana. Wanaokula ni wachache kuliko wasiokula. Kuwa makinMbuzi katoliki a.k.a Kitimoto mara 3 kwa wiki kwa miezi 3-4 kafriji kasipomtoka basi tena!..