Ili mjengo uitwe nyumba na si kibanda unatakiwa uwe na sifa zipi?

Ili mjengo uitwe nyumba na si kibanda unatakiwa uwe na sifa zipi?

Equation x

JF-Expert Member
Joined
Sep 3, 2017
Posts
33,679
Reaction score
49,841
Kumekuwa na changamoto ya namna ya kutafsiri majengo tunayojenga,wapo wanayoyaita mabanda na wengine wanaita nyumba au mijengo. Sasa ni sifa zipi zinazotumika,kutofautisha ili ni banda au hii ni nyumba?
 
Mjengo
ziggyhousedesign-1.jpg
 
Finishing ya uhakika ndio unatofautisha nyumba na banda. Mabanda mengi hayajafanyiwa finishing nzuri na za kisasa.
 
Back
Top Bottom