Ili mwalimu ahame afuate taratibu zipi?

vamda

JF-Expert Member
Joined
Aug 1, 2012
Posts
895
Reaction score
571
Salamu wana JF. Naomba kufahamishwa ni taratibu zipi za kisheria anazotakiwa kufuata mwalimu ili kuhamia mkoa mwingine. Maana inavyoonekana sasa hivi mpaka bosi wako kwenye halmashauri apende. Naomba nifahamishwe je,kuhama ni haki ya kisheria au mpaka bosi apende?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…