sasa nitampeleka vp hospitali wakati ni mke wa mtu maana nimechanganyikiwa na kujiuliza alikuwa ana nia gani sijui. Imenistua sana kwa kuwa sikutegemea kitu kama hicho kabisa kutoka kwa yule dada
Hospitali ya nini!, nae huyu jamaa anayo dawa!!!!!
mmh aya !!!
bas amtibu araka araka...
hujambo sweeeetiee?
wewe unamke? kama huna kula kaka hanalolote huyo alikuwa anatafua gear ya kukuingia ambayo tayari kesha maliza kazi yake,
nimekumbuka kuwa dawa ya allergy ya kuvimba vimba unapaka majivu, ngoja nimtwangie extension yake nimwambie nimepata dawa ili nione mwisho wake maana naona kama ataniona jisu butu bure wakati mie ni mkare kuliko Topazkwan mke wa mtu apelekek hosptal?
sa utamfanyaje wakat we ndo chanzo cha alej ya leo?
uo uvimbe unamuwasha?labda umsaidie kukuna..
b gntlman mchukue mpeleke hospital au jd famasi akapate dawa ya kupaka.
ANAKUTAKA UYO.
kilichokufanya usizi ni kipi haswaa? Kipele au? Udhaifu tu huna loloteduh kweli mzee, ila hiyo akili haikuwepo kabisa nilikuwa kama nime seize hivi
ngoja na mimi nimalizie sehemu yangu sasa maana yeye kalianzisha na mie natakiwe nimalizie
kaka itabidi nipige mzigo kwa heshima yakoHow old are you? Mwanamke akikutaka anaweza kufanya chochote kitachoatract attention kwamba mzigo unatakiwa. Sasa unashangaa nini? Ndio majaribu ya kukutaka na nina uhakika utapiga mzigo tu. Kila la heri
jumlisha na akili yako hapaHAyo ndo maneno FD malizia kazi bana si kurembesha.......uvae zana lakini usinanihii kavukavu
kila m/ume ni dhaifu mbele ya mwanamke ndio maana kwenye bible kuna yule jamaa ambaye siri ya nguvu zake ilikuwa ni nywele ila mkewe alimbana akatoa siri watu wakamnyoa so historically w/ume ni dhaifu kwa w/wakekilichokufanya usizi ni kipi haswaa? Kipele au? Udhaifu tu huna lolote