M.Rutabo
JF-Expert Member
- Apr 8, 2015
- 1,031
- 2,647
Wakuu amani ya bwana iwe pamoja nanyi. Wakati tukijiandaa kwa uchaguzi wa serikali za mtaa kuna wazo limenijia hv ili nife kwa umri aliokufa nao rais Mwinyi natakiwa kuishi tena hapa duniani kwa miaka mingine 65?
Yani nianze kuhesabu 1,2,3,4,5.......65 hyo nimiaka sio miezi kweli kwenye hii dunia ya hivi? Hapana kwakweli. Yani nishudie tena marais sita watakao fata? Hapana kwakweli nimekataa.
Yani nianze kuhesabu 1,2,3,4,5.......65 hyo nimiaka sio miezi kweli kwenye hii dunia ya hivi? Hapana kwakweli. Yani nishudie tena marais sita watakao fata? Hapana kwakweli nimekataa.