Ili niweze kujenga shule ya msingi natakiwa kuwa na eneo lenye ukubwa kiasi gani (sqm ngapi)?

Ili niweze kujenga shule ya msingi natakiwa kuwa na eneo lenye ukubwa kiasi gani (sqm ngapi)?

Joined
Apr 26, 2019
Posts
37
Reaction score
15
Habari za asubuhi ndg wakuu.
nimejitafuta kwa miaka 14 tangu nilipohitimu chuo sasa nafikiri kujiajiri kwa sababu nimesubiri ajira kwa muda mrefu bila mafanikio.
Nafikiria kujiajiri katika fani yangu. So nahitaji msaada kujua ili niweze kujenga shule ya msingi natakiwa kuwa na eneo lenye ukubwa kiasi gani (sqm ngapi)
 
Habari za asubuhi ndg wakuu.
nimejitafuta kwa miaka 14 tangu nilipohitimu chuo sasa nafikiri kujiajiri kwa sababu nimesubiri ajira kwa muda mrefu bila mafanikio.
Nafikiria kujiajiri katika fani yangu. So nahitaji msaada kujua ili niweze kujenga shule ya msingi natakiwa kuwa na eneo lenye ukubwa kiasi gani (sqm ngapi)
Huna mtaji mkuu wa kuanzisha shule ya English medium, wanao miliki hayo mashule hawajawahi kuwaza kuajiriwa au kutafuta ajira.......
 
Habari za asubuhi ndg wakuu.
nimejitafuta kwa miaka 14 tangu nilipohitimu chuo sasa nafikiri kujiajiri kwa sababu nimesubiri ajira kwa muda mrefu bila mafanikio.
Nafikiria kujiajiri katika fani yangu. So nahitaji msaada kujua ili niweze kujenga shule ya msingi natakiwa kuwa na eneo lenye ukubwa kiasi gani (sqm ngapi)
Inategemea na ukubwa wa shule yako. Kama ya bweni au day.
 
Nadhan inatofautiana na ukubwa wa shule (picha iliyopo kichwan mwako na matamanio yako)
Nje ya majengo ya shule
Nyumba za walim
Viwanja viwil vya mpira boys na girls
Bweni boys and girls
Pakufulia nguo boys na girls

Kwahyo hakuna jibu rasmi
Ila hivyo tajwa hapo juu walau ekari 3-10
 
Habari,
Karibu chianteng limited ni wauzaji wa Truck za HOWO Kwa Bei Nzuri

Pia tunazo SPARE PARTS ZOTE ZA HOWO,

Pia tuna mafundi waliobobea katika utengenezaji wa truck za HOWO.

Karibu sana

📍Tupo Kurasini opposite na Chuo Cha Diplomasia

☎️0748 270 719
Howo-371-dump-truck-for-sale-1-100885.jpg
IMG-20240613-WA0003.jpg
IMG-20240613-WA0005.jpg
 
Mwongozo Unasema Eka 7.Lakini Kwa Mjini hata Chini ya hizo unajenga,provided Majengo yawe high rise.Naamini umeshaona tofauti ya Eneo la Shule Kati ya Miji na Kijijini.Waweza Ingia web ya Wizara kuna Mwongozo pakua na Kusoma.
 
Huna mtaji mkuu wa kuanzisha shule ya English medium, wanao miliki hayo mashule hawajawahi kuwaza kuajiriwa au kutafuta ajira.......
Unadanganya,Kuna mwalimu Mmoja Bado anafundisha tena shule ya kata lakini ana shule Kali tu English Medium na inafanya vizuri
 
Mwongozo Unasema Eka 7.Lakini Kwa Mjini hata Chini ya hizo unajenga,provided Majengo yawe high rise.Naamini umeshaona tofauti ya Eneo la Shule Kati ya Miji na Kijijini.Waweza Ingia web ya Wizara kuna Mwongozo pakua na Kusoma.
Atlas ya Ubungho sijui kama hata Robo eka imefika
 
According to Urban Planning Planning and Space Standards - 2018, the recommended standard for construction of primary is 1.5 Ha to 4.5 Ha.
 
Back
Top Bottom