Kwa mtazamo wangu simba sc ili ifanikiwe kimpira barani africa inatakiwa isajili washambuliaji kutoka inchi hizi barani africa na wachukuwe anaecheza kikisi cha taifa
Morocco [emoji1173]
Mali [emoji1159]
Senegal [emoji1211]
Burkina faso [emoji1059]
Egypt [emoji1093]
Nimeona wachezaji wenye tarent na kujituma sana sio kama wetu
Wewe utachangia shilingi ngapi kufanikisha usajiri wa wachezaji kutoka hayo mataifa?Kwa mtazamo wangu simba sc ili ifanikiwe kimpira barani africa inatakiwa isajili washambuliaji kutoka inchi hizi barani africa na wachukuwe anaecheza kikisi cha taifa
Morocco [emoji1173]
Mali [emoji1159]
Senegal [emoji1211]
Burkina faso [emoji1059]
Egypt [emoji1093]
Nimeona wachezaji wenye tarent na kujituma sana sio kama wetu
Mbona kama umevurugwa....Ulisoma mafanikio ya simu?
Labda wasajili washambuliaji wa mimea
Wameset goals sio realistic , eti kucheza CAFCL semi final ….. labda semi tinal ya mangungu
Hawana uwezo, kombe la ndani linawatoa kamasi for two years , uende ukacheze CAFCL
MAD
Wewe utachangia shilingi ngapi kufanikisha usajiri wa wachezaji kutoka hayo mataifa?
Parachichi Maharage na KoroshoMbona kama umevurugwa....
Parachichi Maharage na Korosho
Wangeanza kutoa viongozi wote wababaifu kuanzia mwekezaji mo na kina mangunguKwa mtazamo wangu simba sc ili ifanikiwe kimpira barani africa inatakiwa isajili washambuliaji kutoka inchi hizi barani africa na wachukuwe anaecheza kikisi cha taifa
Morocco [emoji1173]
Mali [emoji1159]
Senegal [emoji1211]
Burkina faso [emoji1059]
Egypt [emoji1093]
Nimeona wachezaji wenye tarent na kujituma sana sio kama wetu
Billion 20Wewe utachangia shilingi ngapi kufanikisha usajiri wa wachezaji kutoka hayo mataifa?
Simba walichukua kombe la ndani miaka minne mfululizo wakati huo nye mkikata viuno jangwaniUlisoma mafanikio ya SSC?
Labda wasajili washambuliaji wa mimea
Wameset goals sio realistic , eti kucheza CAFCL semi final ….. labda semi tinal ya mangungu
Hawana uwezo, kombe la ndani linawatoa kamasi for two years , uende ukacheze CAFCL
Semi final
MAD
Wanasahau hiloSimba walichukua kombe la ndani miaka minne mfululizo wakati huo nye mkikata viuno jangwani
Sent using Jamii Forums mobile app
Simba walichukua kombe la ndani miaka minne mfululizo wakati huo nye mkikata viuno jangwani
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ulisoma mafanikio ya SSC?
Labda wasajili washambuliaji wa mimea
Wameset goals sio realistic , eti kucheza CAFCL semi final ….. labda semi tinal ya mangungu
Hawana uwezo, kombe la ndani linawatoa kamasi for two years , uende ukacheze CAFCL
Semi final
MAD
Yupo sahihi, Simba yetu inapumulia mashine...iko hoi taabaniMbona kama umevurugwa....
Ila kaja na moto sana..sisi wenye timu tunamshangaaYupo sahihi, Simba yetu inapumulia mashine...iko hoi taabani