Ili Simba SC ifanikiwe kimpira inatakiwa isajili washambuliaji kutoka inchi hizi

GOLD BOY

JF-Expert Member
Joined
Jun 9, 2023
Posts
387
Reaction score
490
Kwa mtazamo wangu simba sc ili ifanikiwe kimpira barani africa inatakiwa isajili washambuliaji kutoka inchi hizi barani africa na wachukuwe anaecheza kikisi cha taifa.

Morocco [emoji1173]
Mali [emoji1159]
Senegal [emoji1211]
Burkina faso [emoji1059]
Egypt [emoji1093]

Nimeona wachezaji wenye taLent na kujituma sana sio kama wetu
 

Ulisoma mafanikio ya SSC?

Labda wasajili washambuliaji wa mimea

Wameset goals sio realistic , eti kucheza CAFCL semi final ….. labda semi tinal ya mangungu

Hawana uwezo, kombe la ndani linawatoa kamasi for two years , uende ukacheze CAFCL
Semi final
MAD
 
Wewe utachangia shilingi ngapi kufanikisha usajiri wa wachezaji kutoka hayo mataifa?
 
Mbona kama umevurugwa....
 
Wangeanza kutoa viongozi wote wababaifu kuanzia mwekezaji mo na kina mangungu
 
Simba walichukua kombe la ndani miaka minne mfululizo wakati huo nye mkikata viuno jangwani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Hata CONGO wapambanaji sana..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…