N'yadikwa
JF-Expert Member
- Aug 10, 2014
- 7,427
- 10,905
Hakuna haja ya kufunga, kuzima taa na kuegesha mabasi wakati tunashughuli ya kukimbiza UCHUMI wa TANZANIA.
Kwanini miji kama DAR ES SALAAM, MBEYA, MWANZA, ARUSHA, KAHAMA, MAFINGA, TUNDUMA BORDER nk ifungwe? Nyakati za usiku?
Kwanini mabasi yasisafiri usiku!? Je, hatuwezi kuimarisha ULINZI highway na kwenye Town centers zilizobainishwa ili tukuze uchumi hasa maeneo yenye moto wa biashara kama baadhi nilotaja hapo?
Naomba SERIKALI mlifikirie hili suala. Ndugu WABUNGE kwa umoja wenu iagizeni serikali ilitafakari suala hili.
Wenzetu wanatuacha baadhi ya town centers ziko active muda wote...pia abiria wanasafiri usiku/mchana.
TUBADILIKE kama kweli tunanuia kukuza uchumi kwa haraka kwenye ukanda huu. TUNAPOTEZA rasilimali nyingi kwa kulaza MIJI YETU na USAFIRI. Hayo ni mabilioni yanakuwa USINGIZINI.
Jeshi letu la POLISI liongezewe rasilimali WATU na rasilimali VIFAA ili tutekeleze hili. Biashara pekee inaweza kutuinua pakubwa sanaaa...Cross border business itakua kwa kasi.
Kwa kuanza mkakati huu tufikirie kufunga Street Cameras na lights....kisha Jeshi letu lipewe vifaa na watu wa kutosha...kisha tuchague miji kadhaa ambayo itakuwa SLEEPLESS CITIES kv Mwanza, Mbeya, Dodoma, Dar, Tunduma, Mafinga,Kahama to mention but a few.
Kwanini miji kama DAR ES SALAAM, MBEYA, MWANZA, ARUSHA, KAHAMA, MAFINGA, TUNDUMA BORDER nk ifungwe? Nyakati za usiku?
Kwanini mabasi yasisafiri usiku!? Je, hatuwezi kuimarisha ULINZI highway na kwenye Town centers zilizobainishwa ili tukuze uchumi hasa maeneo yenye moto wa biashara kama baadhi nilotaja hapo?
Naomba SERIKALI mlifikirie hili suala. Ndugu WABUNGE kwa umoja wenu iagizeni serikali ilitafakari suala hili.
Wenzetu wanatuacha baadhi ya town centers ziko active muda wote...pia abiria wanasafiri usiku/mchana.
TUBADILIKE kama kweli tunanuia kukuza uchumi kwa haraka kwenye ukanda huu. TUNAPOTEZA rasilimali nyingi kwa kulaza MIJI YETU na USAFIRI. Hayo ni mabilioni yanakuwa USINGIZINI.
Jeshi letu la POLISI liongezewe rasilimali WATU na rasilimali VIFAA ili tutekeleze hili. Biashara pekee inaweza kutuinua pakubwa sanaaa...Cross border business itakua kwa kasi.
Kwa kuanza mkakati huu tufikirie kufunga Street Cameras na lights....kisha Jeshi letu lipewe vifaa na watu wa kutosha...kisha tuchague miji kadhaa ambayo itakuwa SLEEPLESS CITIES kv Mwanza, Mbeya, Dodoma, Dar, Tunduma, Mafinga,Kahama to mention but a few.