Elections 2010 Ili uchaguzi uwe huru lazima

Zahor Salim

Member
Joined
Sep 1, 2010
Posts
29
Reaction score
9
Ili uchaguzi uwe huru lazima wapizani wapiganie watanzania wawe na national id yaani kila Mtanzania awe na kitambulishe cha taifa .

Wakati wa kuandikisha wapiga kura liwe ni shart kuu la kuandikishwa lazima uwe na kitambulisho ili kuepuka kuandikishwa wapiga kura hewa.

Ili kuondoa tatizo kubadilishwa matokeo ni bora ukafutwa utaratibu wa kupigia kura chama badala ya mbunge wabunge wapatikane kwa kwa uwiano wa wapiga kura.

Naomba uwasilsha mada kama kuna mapungufu naonba kusahihishwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…