Masokotz
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 3,713
- 6,121
Umewahi kujitoa ufahamu?Umewahi kuona mtu ambaye amejitoa ufahamu?Unaelewa ufahamu ni nini?Una ufahamu?
Nitaanzia Mwishoni.
Miaka zaidi ya 15 iliyopita nilianzisha kampuni yangu ya kwanza,Nikafungua akaunti na kupata cheque book nikawa ni mmiliki wa Kampuni.Pesa nilizotumia kufanya hivyo zilikuwa ni za ada ya Chuo.Strategy yangu ilikuwa simple tu.Niwe na kampuni nipige Pesa.Kwenye kampuni yangu mimi nilikuwa tarishi aka messenger na mimi nilikuwa mkurugenzi mtendaji aka MD.Nikitazama nyuma sasa najua kwamba nilijitoa ufahamu.
Ndani ya kipindi kifupi cha miaka mitatu niliweza kutengenza Revenua ya zaidi ya Milion 30 na kuwa na wateja zaidi ya 200 katika biashara yangu.
Wateja wangu wengi walikuwa wanajua mimi ni mtumishi tu ni kwamba Mkurugenzi alikuwa BUSY mara yuko Japan,China,UK. na mimi ndo mwakilishi wake.Jina la mkurugenzi lilikuwa jina la Mpenzi wangu ambaye hata hakuwa anajua kuwa katika rekodi ya jamhuri alikuwa Mkurugenzi wa kampuni.Alikuwa ni mwanafunzi tu..
\Nilifanya kazi na kampuni kubwa za ndani na nje ya nchi na nilikuwa naenda kwenye meeting za kibiashara nikiambatana na warembo ambao kazi yao ilikuwa ni kuchukua notes za meeting to na kutabasamu na kutingisha kichwa.Nilikuwa na umri mdogo tu ila nilikuwa nimejitoa ufahamu.
Ufahamu ni nini?Ufahamu ni ile hali ya kuwa na uwezo wa ung'amuzi na uelewa unaokufanya ama upate ujasiri wa kuamua au kufanya jambo au ukose ujasiri wa kuamua au kufanya jambo.Unapojiyoa ufahamu unaamua kuangalia upande mmoja tu wa sarafu yaani ule unaokuvutia na wenye faida na kuamua kuutumia kufanya maamuzi.
Il ufanikiwa kwa urahisi kuna wakati inabidi ujitoe ufahamu kwa kiwango cha Juu..
Je umewahi kujitoa ufahamu?Tujadili hapa faida na hasara za kujitoa ufahamu mintarafu mafanikio.
Wasiliana nasi kwa njia ya email.masokotz@yahoo.com ili upate taarifa za mafunzo yetu ya Fursa na usimamizi wa Biashara.
Kumbuka NO SALES no BUSINESS.Kama biashara yako haina mauzo basi hauna biashara
Karibu tujadili
Nitaanzia Mwishoni.
Miaka zaidi ya 15 iliyopita nilianzisha kampuni yangu ya kwanza,Nikafungua akaunti na kupata cheque book nikawa ni mmiliki wa Kampuni.Pesa nilizotumia kufanya hivyo zilikuwa ni za ada ya Chuo.Strategy yangu ilikuwa simple tu.Niwe na kampuni nipige Pesa.Kwenye kampuni yangu mimi nilikuwa tarishi aka messenger na mimi nilikuwa mkurugenzi mtendaji aka MD.Nikitazama nyuma sasa najua kwamba nilijitoa ufahamu.
Ndani ya kipindi kifupi cha miaka mitatu niliweza kutengenza Revenua ya zaidi ya Milion 30 na kuwa na wateja zaidi ya 200 katika biashara yangu.
Wateja wangu wengi walikuwa wanajua mimi ni mtumishi tu ni kwamba Mkurugenzi alikuwa BUSY mara yuko Japan,China,UK. na mimi ndo mwakilishi wake.Jina la mkurugenzi lilikuwa jina la Mpenzi wangu ambaye hata hakuwa anajua kuwa katika rekodi ya jamhuri alikuwa Mkurugenzi wa kampuni.Alikuwa ni mwanafunzi tu..
\Nilifanya kazi na kampuni kubwa za ndani na nje ya nchi na nilikuwa naenda kwenye meeting za kibiashara nikiambatana na warembo ambao kazi yao ilikuwa ni kuchukua notes za meeting to na kutabasamu na kutingisha kichwa.Nilikuwa na umri mdogo tu ila nilikuwa nimejitoa ufahamu.
Ufahamu ni nini?Ufahamu ni ile hali ya kuwa na uwezo wa ung'amuzi na uelewa unaokufanya ama upate ujasiri wa kuamua au kufanya jambo au ukose ujasiri wa kuamua au kufanya jambo.Unapojiyoa ufahamu unaamua kuangalia upande mmoja tu wa sarafu yaani ule unaokuvutia na wenye faida na kuamua kuutumia kufanya maamuzi.
Il ufanikiwa kwa urahisi kuna wakati inabidi ujitoe ufahamu kwa kiwango cha Juu..
Je umewahi kujitoa ufahamu?Tujadili hapa faida na hasara za kujitoa ufahamu mintarafu mafanikio.
Wasiliana nasi kwa njia ya email.masokotz@yahoo.com ili upate taarifa za mafunzo yetu ya Fursa na usimamizi wa Biashara.
Kumbuka NO SALES no BUSINESS.Kama biashara yako haina mauzo basi hauna biashara
Karibu tujadili