Ili ufanikiwe maishani kipi kitangulie gari, nyumba au ndoa?

We huna vitega uchum inavyoonekana hivyo gari. Itakocost
 
Duh huu mtihani hasa....1. Gari si kitu kbisaaa....sahau kuanza nacho 2. kwa upande wangu naona familia...ila angalia ndoa chunguza, oa mke anayeitwa mke si mke ilimradi...Usiowe mke sura, angalia mke tabia....
Unaweza oa mke mwenyebusara na tabia nzuri na akili amkashirikiana, ukawa na amani na baraka ukapata ukaweza jenga na nyumba...Ila ukioa mke anayependa kuspend nyumba hujengi ng'ooo.....

3. Ukishaoa anza nyumba
 
km hujapata mke mwema anza na nyumba...Kuoa kupo tuu
 
Duh huu mtihani hasa....1. Gari si kitu kbisaaa....sahau kuanza nacho 2. kwa upande wangu naona familia...ila angalia ndoa chunguza, oa mke anayeitwa mke si mke ilimradi...Usiowe mke sura, angalia mke tabia....
Unaweza oa mke mwenyebusara na tabia nzuri na akili amkashirikiana, ukawa na amani na baraka ukapata ukaweza jenga na nyumba...Ila ukioa mke anayependa kuspend nyumba hujengi ng'ooo.....

3. Ukishaoa anza nyumba
 
yaani ktk malaika na shetani wapo......kuna watu wanaushauri wa kupotosha balaaa
 
Mkuu kabla ya kukushauri kipi kitangulie Ningependa tujuzane mambo ya kuzingatia kabla ya kuchukua uamuz,.. Mambo hayo ni thamani ya mkopo na mazingira uliyopo. Tukianza na thaman ya mkopo, hii itakuwezesha kujua kutokana na mkopo wako ni kitu gan unaweza ukakiafford kwa ukamilifu,mfano kama umekopa 10m na unaishi dar ckushauri ujenge sababu bei ya kiwanja na ujenz wa dar hyo nyumba itachukua zaid ya miaka mitano kumalizika kwa mtanzania mwenye kipato cha kawaida,kama huna kitega uchumi kngne ni vigumu sana kufanya mambo mengne kwa kipindi hiki.
Vilevile suala la mazingira uliyopo ni muhimu kulizingatia kwa sababu,mfano Ujenzi wa mkoani ni rahisi hvyo kwa 10m hata mm ningekushauri ujenge sababu nyumba itakamilika na utasave kodi za nyumba ya kupanga na Mipango mingine from thr inaweza ikaendelea(kama kuoa) ila kama ni dar kwa 10m ningekushaur uanze na kipando cha bei ya kawaida kwn kitakupunguzia adha nyng za public transport alaf kuoa kutafata Ujenz mwisho.
Kama ingekua mm ndo niko kwny position yako mkopo huo ningejitahidi kuwekeza na kuvumilia kuvikosa baadhi ya vitu kwa muda, naamin kupitia uwekezaji vitu hvyo vyote upatikanaji wake utakua rahisi ukilinganisha na ningetumia huo mkopo kuvipata.
 

Gari ndio mpango mzima. Kila kitu utapata ukiwa na gari
 
gari ni necessity sio anasa ila sio investment itaendelea kutumia pesa ( mafuta na matengenezo ya hapa na pale) najua unanunua gari sio kwa kuzalishia ila kukusaidia usafiri. nyumba ni investment waweza jenga kwanza na hii itakupunguzia gharama za kodi ya nyumba na utafanya savings, utaoa na kutulia bila shida na unaweza kukopa kwa nyumba hiyo ukafanya business ya kukuingizia income only if your a risk taker( kwa nini nasema hivi ni kwa sababu sishauri sana nyumba unaoishi uweke amana ya mkopo! mke inategemea, je umri na moyo wako unaona ndio wakati wa kuoa kabla ya hayo mengine? maandiko yansema apataye mke amepata kitu chema naye amepata kibali mbele za Mungu! kibali maana yake ni favour(upendeleo) ndo maana watu wengi wanainuka kimaisha baada ya kuoa! ila kipato chako ndio kinaweza kuamua uanze kipi
 

kama ni mkopo fanya INVESTMENT kutokana na hio investment ndio uamue uanze na nyumba au gari au mke....
 
Mkuu kuwekeza napo ni kazi kama kazi nyingine.Unaweza kuweka mkopo kwenye biashara na isifanikiwe mwisho wa siku atakuwa kupoteza hela na muda na makato juu anayapata.kwa 10M,agiza gari ya 6M au 7M,passo au vits then inayobaki wekeza ila uwe makini na serious katika usimamizi wa hiyo biashara.Biashara ikienda vizuri ongeza mtaji then ndio ufungu ndoa,ukiwa na mke mwema mtasaidiana kujenga taratibu maana mtakuwa na vipato vitatu,chake,chako na biashara
 

Anza na ndoa. Then nunua kiwanja. Baada ya hapo kama ni gari au nyumba mtajadiliana na mkeo lakini kiwanja kitakuwa kipo tayari. Raha ya nyumba mjenge na mkeo naye achangie.
 

Ushauri mzuri... Though Hapa Inategemea na priorities za mtu na aina ya biashara pia, kwa mtaji wa 3m kwa baadhi ya biashara ni ngumu kufanya.. Na pia kufeli au kufaulu nikiwa na maana ya hasara au faida ni matokeo.. Tajiri wetu wa africa ambae ni mfanyabiashara nguli alishawahi kusema 'in order for someone to be successful in business you must take risk, bt make sure that it is a calculated one'
So ukijipanga(ucpo kurupuka) na kumshirikisha Mungu pia mambo yanaenda sawa.
 
Upo sahihi sana mkuu,na hilo ndio nilikuwa nataka ulisisitize,swala la kutake a well calculated risk na kujipanga.Ndio maana pia sijataka kumshauri aingize hela zote kwenye biashara maana hana uzoefu wa biashara hivyo kufanya a well calculated risk inaweza kuwa ngumu,kwa mantiki hiyo asije kukosa vyote.3M unaweza kuizungusha ikazalisha vizuri tu,mimi naamini hivyo na kwa kukosa kwake uzoefu wa biashara kwa mtaji wa 3M itamsaidia kujifunza kusimamia biashara kuliko kuingiza 10M yote kwenye biashara ataipoteza.those who have experience have greater chance of winning when it comes to taking high risks
 
Inategemea unataka kujenga nyumba ya namna gani, kama unataka tu kuwa na kwako basi anza kwa kujenga lakini kama unataka kujenga nyumba ya kueleweka nakushauri wewe oa tu ikiwezekana ununue na gari wakati unadunduliza taratibu hela ya ujenzi! Kujenga si lelemama jamani tuache masikhara.
 
Hii 99% umeipataje? Kwa nini sio 100% au 89%?

Asilimia hiyo inaletwa na vitu kama pombe, kubakwa, achilia mbali wale wanaobeba mimba kama tiketi ya kulazimisha ndoa na baadaye ndoa mambo huwaendea sivyo
Hiyo 1% inabaki kwa wale wanaopata watoto bila wake/waume kwa utashi wao bila ndoa
 
Mtoa mada ameuliza swali la kuchagua jibu sahihi kati ya gari, nyumba na ndoa. Sasa wengine wanajibu tofauti kweli ndio maaana kuna A mpaka F kwenye mtihani. Hapo unatakiwa uchague jibu sahihi kisha ulielezee.

Kwangu mimi nitachagua ndoa hayo mengine yatafuatia tu. Ni vizuri wanandoa mkashirikiana kwenye mambo kama kujenga nyumba inapendeza zaidi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…