na usijenge kwa kutumia mshahara utatumia miezi 50
Jamani, kuna mishahara mingine, tena ya watu wengi tu, ni mikubwa kuliko biashara nyingi sana. Tunaposema usitegemee mshahara fanya biashara, mshahara wake tunaujua?pia kama anategemea mkopo au mshahara bila biashara itamsumbua na itamchukua muda
Niko job of sin kuna Mfanyakazi mwenzangu kaja na fomu ya mkopo wa bank nilipojaribu kuisoma kujua mashariti Tao nimegundua kipengele cha dhumuni la mkopo ikanibidi ma Mimi nivae viatu vya muhusika nikafikiria mambo matatu ya kuanza nayo maishani napenda sana kuwa na gari pia napenda kuwa na familia yaani mke na watoto tatu napenda kuwa na kwangu yaani nyumba yangu haya yote yanahitaji maandalizi yaani pesa njia panda yangu ni kwamba kipi kikianza kitanipa urahisi wa kupata mawili yaliobaki nikianza na mke nitapata gari na Nyumba maana matumizi yataongezeka au nikianza ujenzi nitakaa muda bila kuoa naomba ushauri kipi nianze nacho.
NyumbaNiko job of sin kuna Mfanyakazi mwenzangu kaja na fomu ya mkopo wa bank nilipojaribu kuisoma kujua mashariti Tao nimegundua kipengele cha dhumuni la mkopo ikanibidi ma Mimi nivae viatu vya muhusika nikafikiria mambo matatu ya kuanza nayo maishani napenda sana kuwa na gari pia napenda kuwa na familia yaani mke na watoto tatu napenda kuwa na kwangu yaani nyumba yangu haya yote yanahitaji maandalizi yaani pesa njia panda yangu ni kwamba kipi kikianza kitanipa urahisi wa kupata mawili yaliobaki nikianza na mke nitapata gari na Nyumba maana matumizi yataongezeka au nikianza ujenzi nitakaa muda bila kuoa naomba ushauri kipi nianze nacho.