Hawa ndo aina ya watu wanahitajika na ccm, vichwa maji.Kichwa cha habari mirinda , content Pepsi !
Inakuwa tamu sana,unajichagulia tuu uanze wapi umalizie wapi.Nataka kujua mnaolipia zote ipoje,
Sasa hivi ni 64,000Wasalamu,
wadau maisha ni mafupi Kila mtu ana starehe yake.
Azam nimelipia ila nashindwa kuipenda kama Dstv, naona Hawa Dstv wana picha HD sana.
Ila mnaolipia Cha 165,000 naona mnapata channel nyingi sana.
Hebu nijuzeni mnainjoi sana au magumashi?
Naombea one day nilipie zote nijue kuna nini?
Unaweza usitoke njeNataka kujua mnaolipia zote ipoje,