Ili uishi maisha marefu

Acha michepuko pia tumia kondom ukichepuka.
 
1.usiruhusu au kukubali kugonga au kugongwa "mbichi" (kavu kavu yaani bila glovu).

2. Usijenge au kupanga mabondeni usije zamishwa na mvua za masika au vuli.

3. Usipende sana usafiri wa bodaboda au Bajaza mjini.
4. Hama mitaa ya vichochoroni utakosa hewa au kukabwa.
5. Epuka pombe za mataputapu
6. Kama umepanga, lipa kodi zako mapema mwenye nyumbani asikupe presha.
7. Epuka mapenzi na mke, mume wa mtu, vitoto vidogo au wanafunzi
8. Jenga utamaduni wa kupima Afya.
9. Jiepushe na madeni ya hovyo hovyo.
10.Usipende mambo ya short cuts Kama kuiba umeme, luku, kughushi malipo nk...
11. Jenga mazoea ya kusali au Kuswali.
 
Acha michepuko pia tumia kondom ukichepuka.

kondom si kinga salama sana kaka labda inategemeana na aina ya mapenzi yeny ,bt dont trust condoms zaidi., ndo mana kuna kundi kubwa la watu ni watumiaji wazuri wa condoms na wameathirika na HIV.
 
1.Ridhika na ulichonacho
2.Fikiri kwanza kabla ya kuamua/kutenda.
 
Pata pesa halali kwa kazi halali na tumia katika njia halali!
 
Keep the Doctor away pia kuwa na moyo wenye furaha...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…