Ni kwel coz wengi wao wanakuyana na burungutu la pesa katika umri mbovu sana, so hata ile thinking capacity ya afanyeje, haipo tena. Wanaishia kutumia na kuishiwa tu.
Wenye bahati n wale wanaotumia na kufa chap[emoji16][emoji16]
Ila wale akina methusela wanaoishi miaka ya kucheba obvious hukutana na kipondo cha maisha