Ili Wosia uwe halali ni lazima uwe umezingatia vitu gani vya Msingi?

Ili Wosia uwe halali ni lazima uwe umezingatia vitu gani vya Msingi?

realMamy

JF-Expert Member
Joined
Apr 28, 2024
Posts
3,925
Reaction score
8,853
Mara nyingi tunaona na tunasikia kwenye vyombo vya habari kuhusu Wosia kupingwa Mahakamani kutokana na utata wa wosia huo.

Hali hii husababisha kesi ya Mirathi kutumia muda mrefu hadi kukamilika kwake. Huku ukizingatia Mali ambazo walipaswa kugawana katika familia kukaa tu na pengine kuharibika.

Hata wenye haki ya kupewa mali hizo kushindwa kupewa kwa wakati. Lakini pia kesi inapokuwa Mahakamani watu hukosa utulivu wa akili (Msongo wa mawazo) pamoja na kuendelea kupoteza muda.

Soma Pia: Hatua na Taratibu za Kufungua Maombi ya kusimamia Mirathi Mahakamani


Je wananchi wana uelewa kuhusu uandishi wa wosia wenye vigezo au hujiandikia tu?
Vipi kwa wale ambao hawakuacha wosia?

Ili Mahakama iamini wosia huo unapaswa kuwa umezingatia nini?
 
Taratibu za kisheria na uandaaji wake, Pia wasimamizi na mashahidi ni muhimu

Ukipata mwanasheria atakusaidia zaidi

Ukiweza ingia pia IG au YouTube ya Azamtv walikuwa na hili darasa la sheria na taratibu katika swala husika
 
Tunaomba wanasheria mje mtusaidie maana tukiacha vibanda vyetu kwa familia kuna mafisi wanakuja kuwasumbua tupeni darasa .kisheria na pia kimila ama kienyeji.Hapa kwenye kienyeji niweke sawa mfano mm naona kabisa sitoboi niko hoi kitandani gharama za kuita mwanasheria sina naita jamaa na ndugu kugawa mali ...je ni njia ipi ambayo niitumie ili hawa wanangu nao waachia urithi uje utambulike kisheria ama ni watu gani wa mhimu eanatakiwa wawepo kwenye hali km hii
 
Una gari moja,nyumba moja unaandija urithi for what,automatically ni vya mwenza,Maki zikizidi hapo tafuta mwanasheria
 
Mara nyingi tunaona na tunasikia kwenye vyombo vya habari kuhusu Wosia kupingwa Mahakamani kutokana na utata wa wosia huo.
Hali hii husababisha kesi ya Mirathi kutumia muda mrefu hadi kukamilika kwake.
Huku ukizingatia Mali ambazo walipaswa kugawana katika familia kukaa tu na pengine kuharibika.
Hata wenye haki ya kupewa mali hizo kushindwa kupewa kwa wakati.
Lakini pia kesi inapokuwa Mahakamani watu hukosa utulivu wa akili (Msongo wa mawazo) pamoja na kuendelea kupoteza muda.
Je wananchi wana uelewa kuhusu uandishi wa wosia wenye vigezo au hujiandikia tu?
Vipi kwa wale ambao hawakuacha wosia?
Ili Mahakama iamini wosia huo unapaswa kuwa umezingatia nini?
Ninavyoelewa, wosia hasa wa kurithisha ni uamuzi wa mwenye Mali, na ili uwe na nguvu ya kisheria, basi mwanasheria anaweza akahusishwa. Kwa wenye uchumi wa kawaida yaweza isihusishe mwanasheria. Mashahidi pia sio lazima wawepo, labda katika kuzitambua mali husika pale ambapo mwenye Mali atakuwa ameshafariki, na wao watatakiwa kuthibitisha, au kuzionesha kwa walioachiwa/ rithishwa kama hawakuzijua kabla.
 
JN Mengi ni mwenza na aliachiwa wosia na bado umepingwa. Hilo ndo swali la mleta mada nini kifanyike.
Yule ishu yaje iko very techical and contradicted ndio Maana inaamuliwa nahakamani

Mengi alikuwa na mke mkubwa ikiwa na maana ya share 50/50
Mke mkubwa amezaa nae wakapata watoto wakakuza mtaji mpaka kuwa mabilionea.

Mke mkubwa mnaachana ila share zake zipo.

Menfi anaoa bi mdogo ba kuzaa nae


Mke mkubwa anakufa share zake zinaenda kwa watoto.

Mengi anakufa na usia wake anaaema share zake zote ziebde kwa bi ndogo ba watoto wake??? ambaye hajuchuma nae
 
Yule ishu yaje iko very techical and contradicted ndio Maana inaamuliwa nahakamani

Mengi alikuwa na mke mkubwa ikiwa na maana ya share 50/50
Mke mkubwa amezaa nae wakapata watoto wakakuza mtaji mpaka kuwa mabilionea.

Mke mkubwa mnaachana ila share zake zipo.

Menfi anaoa bi mdogo ba kuzaa nae


Mke mkubwa anakufa share zake zinaenda kwa watoto.

Mengi anakufa na usia wake anaaema share zake zote ziebde kwa bi ndogo ba watoto wake??? ambaye hajuchuma nae

Changamoto.
 
Huwa nasikitika sana mali za marehemu zinapouzwa kiholela holela watu wanagawana pesa tena ni watu ambao wala hawakuvuja jasho katika kutafuta mali za marehemu kwa namna yoyoye ile....
 
Huwa nasikitika sana mali za marehemu zinapouzwa kiholela holela watu wanagawana pesa tena ni watu ambao wala hawakuvuja jasho katika kitafuta mali za marehemu kwa namna yoyoye ile....
Labda Elimu ya kutosha itolewe kuhusu Wosia
 
Back
Top Bottom