Ilibaki kidogo tu Lugha ya taifa iwe Kisukuma

Ilibaki kidogo tu Lugha ya taifa iwe Kisukuma

Emc2

JF-Expert Member
Joined
Sep 26, 2011
Posts
16,808
Reaction score
16,887
Nimekuwa nikisikia kuwa kulikuwa na mjadara kuwa Lugha ya taifa iwe ni kisukuma eti kwa sababu lugha hiyo imekaa vizuri na inamisamiati mingi.

Hivi ni kweli?
 
ni kweli lkn nyerere played smart na kuweka swahili km ndo lugha yetu. Siwapimii watani zangu wangeringaje akina ngosha hahaha tehe
 
Nahisi humu Jamii foram watu wangekuwa wana comment kwa kisukuma.
 
Nahisi humu Jamii foram watu wangekuwa wana comment kwa kisukuma.

Ah kisukuma lafudhi yao ngumu km ugali wao hahaha sijui ingekuwaje! Ingekuwa kulila masumanda tuu watani bhana
 
Ah kisukuma lafudhi yao ngumu km ugali wao hahaha sijui ingekuwaje! Ingekuwa kulila masumanda tuu watani bhana
Wewe kumbe mtani wao. Duh ni wale wanaokula vyura nn?
 
Buhwahwa...lekagi mihayo yeneye...mkocha minala...
Bayanda ba Ng'wanza mle ni mihayo gete banhu ba ng'wani
 
Back
Top Bottom