Father of All
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 7,672
- 9,039
Kama kuna mtu alitegemea CCM kubwagwa kwenye uchaguzi unaoendelea, basi ana tatizo.
Hata kushiriki kwa wapinzani ni tatizo. Mshaambiwa uchaguzi unasimamiwa na TAMISEMI mwenye chama na machawa.
Sasa kwa mtaji huu upinzani ungeshinda nini na vipi? Dawa ya uchaguzi nchini ni kuiacha CCM na vyama machawa waendelee na mchezo wao hadi wadanganyika watakapoamka usingizini au kufufuka kama alivyowahi kusema Kamau wa Ngengi aka Jomo Kenyatta aliyezoea kusema kuwa mchonga alikuwa akitawala maiti wakati yeye akitawala manyang'au.
PIA SOMA
- LGE2024 - News Alert: - CCM yashinda 98.83% Wenyeviti Serikali za Mitaa
Hata kushiriki kwa wapinzani ni tatizo. Mshaambiwa uchaguzi unasimamiwa na TAMISEMI mwenye chama na machawa.
Sasa kwa mtaji huu upinzani ungeshinda nini na vipi? Dawa ya uchaguzi nchini ni kuiacha CCM na vyama machawa waendelee na mchezo wao hadi wadanganyika watakapoamka usingizini au kufufuka kama alivyowahi kusema Kamau wa Ngengi aka Jomo Kenyatta aliyezoea kusema kuwa mchonga alikuwa akitawala maiti wakati yeye akitawala manyang'au.
PIA SOMA
- LGE2024 - News Alert: - CCM yashinda 98.83% Wenyeviti Serikali za Mitaa