mwengeso
JF-Expert Member
- Nov 27, 2014
- 9,227
- 6,670
Nilijiuliza toka awali kama ilikuwa sahihi pale Mlezi wa Serengeti Boys, Mh Mengi alipotoa ahadi kwa wachezaji wa Setengeti Boys ya kitita cha TZS 20m/- kila mmoja kama timu ingefuzu kuingia fainali kombe la dunia na TZS 5m/- kwa mchezaji ambaye angefunga goli la kwanza katika mashindano yanayoendelea.
Nilijiuliza kama ilikuwa sahihi kwa kuzingatia kuwa mpira wa miguu ni mchezo wa timu zaidi ya uwezo wa mchezaji mmoja mmoja. Hivyo basi, je, kila mchezaji aliichukulia ahadi hiyi kwa uzito upi; wa kitimu au wa kibinafsi!
Vivyo hivyo tumeshuhudia matokeo ya mchezo wa Timu ya Simba huko Kongo ambapo pia waliahidiwa zawadi ya fedha.
Pesa kamwe haijawa msingi wa maendeleo.
NAWASILISHA.
Nilijiuliza kama ilikuwa sahihi kwa kuzingatia kuwa mpira wa miguu ni mchezo wa timu zaidi ya uwezo wa mchezaji mmoja mmoja. Hivyo basi, je, kila mchezaji aliichukulia ahadi hiyi kwa uzito upi; wa kitimu au wa kibinafsi!
Vivyo hivyo tumeshuhudia matokeo ya mchezo wa Timu ya Simba huko Kongo ambapo pia waliahidiwa zawadi ya fedha.
Pesa kamwe haijawa msingi wa maendeleo.
NAWASILISHA.