Dah nimeshaahidi kuja hata kn mwenyewe tena kabla Jan haijaisha.
Niko serious babu
Heheheheee tuma tu coz nilishawaambia tayari.Yangu macho...
Nashindwa hata kutuma CC kwa wadau...
Sasa na wewe unataka kuniudhi,
Si utafute wa kwako badala ya kwenda kujibana kwenye angle thita??
Babu DC!!!
Hahaha pango la pili lina maumbile ya...... na ......
Marejesho mpenzi hongera sana. Name nimeenjoy kukutana kwetu. Me love you much ingawa nina mipango ya muda mrefu na Filipo.. Ila nitahakikisha mipango yangu haikuathiri.
Niambie kafanyeje?isije ikawa ni majungu...
Hahahahahahahahah,
Kumbe mlijiunga siku moja??
Jina lako la zamani lilikuwa lipi??
Halafu usome vizuri hiyo post ya mama totooo....na maneno ya babu...sawa ehhhh???
Duuuuuuuuuuuuuuu......umeua marejesho...!!
Hapa wewe mwenyewe umedhihirisha ushuhuda wa babu...kama kuna mtu atakuja kunizulia kesi, basi namleta kwenye hii reference post...!!
Ndiyo maana wenye busara zao walisema enzi zao kuwa "mke mwema hutoka kwa God...."....lol!!
Siyo kila mtu bado anatumia huo msamiati..(blue)...Angekuwa chizi mmoja hapa kama Madame B au Kongosho...hii ilikuwa tayari imeshakuwa ligi ya kutimua nayo hadi December!!...Ila wewe umeyamaliza kwa busara na hekima...
Ubarikiwe sana!!...Naamini hata Smile atakuja kupata tuition kwako...
Huyu Filipo anayo bahati ya mtende haki ya nani...sijue Mungu ampe nini zaidi..
Sina kingine cha kusema...endeleeni kumtukuza Mungu......Amen!!
CC: Wazee/wakubwa wenzangu wote... Asprin, Kaizer, gfsonwin, snowhite (??), Mtambuzi, PakaJimmy (mwenyekiti), @FP, Nyamayao (???) na wadogo/wajukuu zetu wapendwa.. King'asti, MwanajamiiOne, Arushaone, mwanyisi, KOKUTONA, Arabela, Lily Flower,.........!!!
Babu DC!!
Oya una maana gani
Marejesho mpenzi hongera sana. Name nimeenjoy kukutana kwetu. Me love you much ingawa nina mipango ya muda mrefu na Filipo.. Ila nitahakikisha mipango yangu haikuathiri.
mpenzi Arabela mimi pia nakupenda...Tafadhali usiniumize moyo wangu......ukumbuke tu yeye ni mume wangu wa ndoa.....
Embu nidokeze,hiyo mipango ya muda mrefu ni ipi?
Babu Dark City me like you kwakweli. Hata sikumoja hujawah kutusahau wajukuu zako, na words of wisdom unazotoaga baaasi.
Be blessed babu.
Tarehe kama ya leo, mwezi wa kwanza, mwaka 2011 (6th Jan 2011), Nilipata fursa ya kujiunga na Jamii Forums. Namshukuru Mungu kwa kuniwezesha kudumu humu jamvini mpaka sasa ..
SABABU YA KUJIUNGA
Habari za SIASA motomoto nilizokuwa nikizipata miaka ile kwenye JAMBO FORUMS, ndizo zilikuwa chachu ya mimi kujiunga tena...
KWA NINI TENA?
Baada ya kukaa nje ya mtandao kwa muda mrefu, nadhani Jambo Forums waliondoka na password yangu... Nilijaribu sana kukumbuka password lakini niliambulia patupu...."Sikuwahi kupata wazo la kuwauliza Mods"
MAFANIKIO
Nimeweza kupata marafiki wengi ,ambao tunafurahi pamoja, tunashirikiana katika mambo mbalimbali.Kimsingi wamekuwa ni sehemu ya familia yangu....
Lini ningekwenda Tanga na kuenjoy kiviile kama sio JF? Big Up sana Arusha-WING, TA-WING na DAR-WING....
Nimeweza kufuatilia mambo mbalimbali ya kisiasa yanayoendelea Nchini,ya kupendeza,kuhuzunisha nk.... Daima nitashukuru kuwepo kwa Jukwaa la Siasa maana bila wao, hakika nisingefika hata huku Chit Chat....
SHUKRANI ZA PEKEE.
Ziwafikie Mods ambao mpaka sasa hawajawahi kunipa hifadhi kule BAN GUEST HOUSE... Nasikia kule kuna mateso balaa, alinidokeza Mungi . Muendelee na moyo huo huo, mkizidi kufanya kazi yenu kwa umakini, msinikumbuke kabisa katika huo ufalme wa BAN..
Pili kwa mume mpenzi Filipo ,kwa kunidaka juu juu.. Nakiri kwamba upinzani upo ,tena mkubwa toka kwa Smile , ladyfurahia , sweetlady Arabela amu ila sintolala usingizi kabisa.... Baadhi ya niliowataja kwa namna moja wanampenda au wanapendwa na mume wangu.... Nayahesabu kwamba ni mapungufu ya kibinadamu....
UJUMBE:
Mimi na Filipo hatukukutana barabarani ,na kama hamuamini angalieni lini tulijiunga JF....
Nawatakia Upendo, Furaha , na Mafanikio katika kila Jambo mtakalolipanga kwa mwaka huu mpya 2013...
Copy: PakaJimmy , Blaki Womani , Preta , Lily Flower , Arushaone , Mr Rocky , Mungi , Mzee wa Rula , LiverpoolFC , Erickb52 , Smile , Arabela , Dark City , madame V , Nicas Mtei na wengine ambao sijawataja...
Ahsante sana KOKUTONA,
Kulea ndiyo jukumu la msingi la mzazi. Mtu huwezi kuzaa halafu ukakwepa kulea na ukategemea kuitwa baba au mama. Na kulea ndo hivyo, hakuishii kwa watoto wetu tu, bali na wajukuu, vitukuu na extended relatives.
Karibuni na nyie kwenye chama!
marejesho;; Hongera zako jamani..........Nimechelewa sana kupitia hapa ila nilikuwa na matumaini ya kupita tu!!!!! Nimefurahi niloposikia ya kwamba haujawahi kukumbwa na janga la BAN.............Wenzako huko tumekuwa sugu na rafiki yangu Mungi;......;........Hongera sana baby na hakika tu pamoja mwanzo mwisho jamaniiiiii..........!!!