Ilikuwa tarehe kama ya leo january 2011

Nashukuru kwa upendo wako kama ni wa agape naupokea lakini kama ni ule mwingine mmh! asante kwa kunifafanulia kwani mwenzio nimetoka Tanga juzijuzi na ni wakuja leoleo na kuondoka kesho asante my dia bravooooooooooooo Asprin
 
Last edited by a moderator:
Nashukuru kwa upendo wako kama ni wa agape naupokea lakini kama ni ule mwingine mmh! asante kwa kunifafanulia kwani mwenzio nimetoka Tanga juzijuzi na ni wakuja leoleo na kuondoka kesho asante my dia bravooooooooooooo Asprin
Usijali wala usiogope. Upendo wa babu kwa wajukuu ni ule wa kutoka juu. Ule mkuu kuliko wote.....:smile:
 
Mzee mwenzangu nimeitikia wito wako.

Naomba umkumbushe binti marejesho asisahau ile ahadi yetu. Filipo akimletea za kuleta babu niko radhi kumuoa mjukuu wangu. Liwalo na Liwe.:becky::becky:

Japo majaribu ni mtaji, usiombe yakukute! Hapa babu naona umeingia choo cha wanyama, huwezi kukuta tundu!
 
Last edited by a moderator:
Hongera marejesho kwa kufikisha miaka miwili JF, kaza buti safari bado ni ndefu, Mungu akuepushe na maovu yote likiwepo la kwenda "BAN GUEST HOUSE", stay blessed ever.

Asante sana mpenzi Lily Flower .. Kwa kweli Mungu aendelee kuweka mkono wake Ufalme wa BAN upite mbali nami....
 
Last edited by a moderator:
 
Last edited by a moderator:
Nawasikilizia kwanza! Wakifanikiwa, nitajipanga kwenda huko! Ingawa mashaka yanazidi matumaini!
Mume wangu wamebadilika sana... Umoja wetu umewafanya waungane kwa kasi na tukicheza, watatupita....... Au tuwatest kwa hili jambo moja?
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…