Ilikuwaje aliyejenga Twin Towers za BoT alifungwa na aliyejenga Mpingo House hajafungwa?

Ilikuwaje aliyejenga Twin Towers za BoT alifungwa na aliyejenga Mpingo House hajafungwa?

Lord denning

JF-Expert Member
Joined
Jun 3, 2015
Posts
15,819
Reaction score
33,255
Nipo Dar es Salaam kwa shughuli zangu za kutafuta mkate.

Wiki hii nimetembelea majengo mawili. Moja ni Majengo ya BOT yaliyopo karibu na Mahakama Kuu na lingine ni jengo la Mpingo House ambapo zamani ilikuwepo Wizara ya Maliasili ya Utalii.

Kilichonishangaza jengo la BOT limejengwa kwa viwango vya juu kabisa vya ubora ila aliyesimamia ujenzi wake Mzee Liyumba alifungwaga jela.

Ila jengo la mpingo House limejengwa kwa viwango vya chini kabisa na kusema kweli halifai. Limeshachoka vibaya sana ila sijawahi kusikia mtu alishtakiwa kwa ujenzi wa jengo lisilo na kiwango.

Swali langu ilikuwaje tukamfunga mtu aliyejenga moja ya jengo bora kabisa nchini na kumuacha mtu aliyejenga moja ya majengo yaliyojengwa kwa kiwango cha chini kabisa nchini?
 
Lilijengwa enzi hizo wanyewe wasema ni upepo tu utapita...[emoji1787][emoji1787]
 
Nipo Dar es Salaam kwa shughuli zangu za kutafuta mkate.

Wiki hii nimetembelea majengo mawili. Moja ni Majengo ya BOT yaliyopo karibu na Mahakama Kuu na lingine ni jengo la Mpingo House ambapo zamani ilikuwepo Wizara ya Maliasili ya Utalii.

Kilichonishangaza jengo la BOT limejengwa kwa viwango vya juu kabisa vya ubora ila aliyesimamia ujenzi wake Mzee Liyumba alifungwaga jela.

Ila jengo la mpingo House limejengwa kwa viwango vya chini kabisa na kusema kweli halifai. Limeshachoka vibaya sana ila sijawahi kusikia mtu alishtakiwa kwa ujenzi wa jengo lisilo na kiwango.

Swali langu ilikuwaje tukamfunga mtu aliyejenga moja ya jengo bora kabisa nchini na kumuacha mtu aliyejenga moja ya majengo yaliyojengwa kwa kiwango cha chini kabisa nchini?
INATEGEMEA NA THAMANI YA HAYO MAJENGO,LABDA HUYU ALIEFUNGWA ALITAKIWA AJENGE JENGO LENYE UBORA ZAIDI YA HIVYO UNAVYOLIONA LEO LAKINI HAKUTIMIZA NDIO MAANA AKAFUNGWA,NA HUYU ALIYEACHWA PENGINE YEYE ALITAKIWA AJENGE JENGO LA KIWANGO CHA CHINI KULIKO LILILOJENGWA NA AKAJIONGEZA NA KULIFIKISHA HAPO LILIPO NDIO MAANA AKAACHWA NA KUPONGEZWA JUU,HAPO VIPI
 
Kesi ya bot ilikuwa si ya ubora bali matumizi mabaya ya ofc. Ile project haikuwa na budget, yaani hakuna kufika mwisho. Projects za pesa ya umma zinatakiwa zile na budget na maamuzi yake yanatakiwa yawe ndani ya budget husika (though inaweza ku shoot). Kufanya comparison na mpinga house
itakuwa si sahii.
Mpingo ipo ilivyo kutokana na budget yake.
 
Kilichonishangaza jengo la BOT limejengwa kwa viwango vya juu kabisa vya ubora ila aliyesimamia ujenzi wake Mzee Liyumba alifungwaga jela.
Alifungwa kwa ajili ya
Nipo Dar es Salaam kwa shughuli zangu za kutafuta mkate.

Wiki hii nimetembelea majengo mawili. Moja ni Majengo ya BOT yaliyopo karibu na Mahakama Kuu na lingine ni jengo la Mpingo House ambapo zamani ilikuwepo Wizara ya Maliasili ya Utalii.

Kilichonishangaza jengo la BOT limejengwa kwa viwango vya juu kabisa vya ubora ila aliyesimamia ujenzi wake Mzee Liyumba alifungwaga jela.

Ila jengo la mpingo House limejengwa kwa viwango vya chini kabisa na kusema kweli halifai. Limeshachoka vibaya sana ila sijawahi kusikia mtu alishtakiwa kwa ujenzi wa jengo lisilo na kiwango.

Swali langu ilikuwaje tukamfunga mtu aliyejenga moja ya jengo bora kabisa nchini na kumuacha mtu aliyejenga moja ya majengo yaliyojengwa kwa kiwango cha chini kabisa nchini?
Viwango vya ubadhirifu vinatofautiana hasa kutokana na thamani ya mradi!... miradi hiyo miwili hata kwa macho ya nyama inaonekana utofauti!!
 
Back
Top Bottom