Franky Samuel
JF-Expert Member
- Oct 10, 2018
- 5,195
- 13,785
Hapa Chama alijisahau au ilikuaje [emoji28][emoji28][emoji28][emoji1787][emoji1787] baada ya muda akafuta Post hiyo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huko si mpaka marehemu wana account active?Hapa Chama alijisahau au ilikuaje [emoji28][emoji28][emoji28][emoji1787][emoji1787] baada ya muda akafuta Post hiyoView attachment 2726335
Hiyo ni account yake mwenyewe kabisaHuko si mpaka marehemu wana account active?
Una uhakikaHiyo ni account yake mwenyewe kabisa
Sisi hatumuoti yeye chama ndo anandoto za kuchezea yangaUto bado mnamuota Triple C. Huyo hatamtakaa mmpate.
Poleni sana.
Nani amesema kuna kosa hapoKwani kosa liko wapi hapo
AahaaaaHuko si mpaka marehemu wana account active?
Sasa Chama Yanga atacheza namba ya nani?Uto bado mnamuota Triple C. Huyo hatamtakaa mmpate.
Poleni sana.
Mkude alikuwa bench Simba Ila alivyoachwa mkamkimbilia fasterSasa Chama Yanga atacheza namba ya nani?
Hata kiongozi mwenye mawazo na Chama utakuwa ana matatizo kichwani.
Mkude anacheza namba ya nani? Alitemwa na Simba, Uto wakabeba.Sasa Chama Yanga atacheza namba ya nani?
Hata kiongozi mwenye mawazo na Chama utakuwa ana matatizo kichwani.
Sasa Mkude ana namba first eleven?Mkude anacheza namba ya nani? Alitemwa na Simba, Uto wakabeba.
Hata aliyemsajili mkude atakuwa ana matatizo kichwani.
Ukiwa mnafiki, uwe na kumbukumbu.
AhahhaahahhahhahaLabda Anashangaa binadamu kuwa na mdomo na nusu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mkude alikuwa bench Simba Ila alivyoachwa mkamkimbilia faster
Kila mwaka Chama anasajiliwa Yanga ila anacheza Simba...Uto bado mnamuota Triple C. Huyo hatamtakaa mmpate.
Poleni sana.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Imekuchomaaa kunakoo, na hujifichagii kuliaaa, haya futa machozi sasa.Wabongo tujifunze kuwa waungwana. Unyanyapaa wa aina hii, haukubaliki hata kidogo. Usisahau ule msemo wa hujafa, hunaumbika.
Usikufuru kiasi hiki au wewe ni mkristo?Labda Anashangaa binadamu kuwa na mdomo na nusu