Ilishawahi kukutokea unataka kumfanya mwenza wako kama rafiki yako lakini yeye ana mawazo tofauti?

Ilishawahi kukutokea unataka kumfanya mwenza wako kama rafiki yako lakini yeye ana mawazo tofauti?

Mhafidhina07

JF-Expert Member
Joined
Aug 1, 2014
Posts
3,340
Reaction score
4,659
Friendship meaning Communication/Sharing pasipo stori hakuna urafiki mtakuwa mnasomana tu, sijui hili jambo ni kwa wanawake wote au laa unajaribu kumfanya mpenzi wako kama rafiki yako.

Una-share nae stori nyingi sometimes unajaza uongo mwingi ili kurefusha maongezi lakini imekuwa tofauti kwa mtu wangu yeye nikimpa stori ya kitu fulani anahisi labda kama namcheat hata ukimuomba msamaha bado anaongea mpaka unaamua kuzila.

Hivi mnafanyaje wengine ili kitengeneza uhusiano imara?
 
Desturi inasema....
Mwanamke ndie anapaswa aongee zaidi then kazi ya mwanaume ni kumsikiliza. Sasa ukikuta ipo kinyume kama hivyo wewe basi lazima iwe tafrani...😛
Lakini pia ukiwa mwanaume unakasirishwa kwa mambo madogo kama hayo, basi tambua kwamba huyo mwanamke amekuzidi akili na hamuwezi elewa tena.
 
Desturi inasema....
Mwanamke ndie anapaswa aongee zaidi then kazi ya mwanaume ni kumsikiliza. Sasa ukikuta ipo kinyume kama hivyo wewe basi lazima iwe tafrani...😛
Lakini pia ukiwa mwanaume unakasirishwa kwa mambo madogo kama hayo, basi tambua kwamba huyo mwanamke amekuzidi akili na hamuwezi elewa tena.
shukrani
 
Desturi inasema....
Mwanamke ndie anapaswa aongee zaidi then kazi ya mwanaume ni kumsikiliza. Sasa ukikuta ipo kinyume kama hivyo wewe basi lazima iwe tafrani...😛
Lakini pia ukiwa mwanaume unakasirishwa kwa mambo madogo kama hayo, basi tambua kwamba huyo mwanamke amekuzidi akili na hamuwezi elewa tena.
Well said
 
Endelea na mastory mpaka azoeee, mvumilie naweza kuwa alikotoka ashapigwa matukio ya kumtosha sasa akikumbuka uchungu unaibuka
 
Pia inategemeana na nature ya mtu,mimi wangu nikimwambia mke na mume wanapaswa kuwa marafiki,but kila ukijaribu kuwa na karibu mazingira yanatenegezwa kuwa mbali na sio urafiki tena
 
Mwenza wako,mkeo, mmeo, SIO RAFIKI YAKO - Usije ukajidanganya..utapata tabu.
Huyo ni MWENZA,ni zaidi ya rafiki - so huwezi ukaleta stori za uongo uongo - rafiki ni mtu ambaye haumuhusishi kila kitu pia - mwenza wako hata bila kumshirikisha anajua tu by - default - Mwenza haihitaji acting - but rafiki unaweza act...mwenza muda mwingi uko naye - huwezi pretend anything.
Mkeo/Mwenza usimlinganishe na karafiki kako ka chuo - ukataka kumtreat hivyohivyo - utapigwa KO mapema sana.
 
Mwenza wako,mkeo, mmeo, SIO RAFIKI YAKO - Usije ukajidanganya..utapata tabu.
Huyo ni MWENZA,ni zaidi ya rafiki - so huwezi ukaleta stori za uongo uongo - rafiki ni mtu ambaye haumuhusishi kila kitu pia - mwenza wako hata bila kumshirikisha anajua tu by - default - Mwenza haihitaji acting - but rafiki unaweza act...mwenza muda mwingi uko naye - huwezi pretend anything.
Mkeo/Mwenza usimlinganishe na karafiki kako ka chuo - ukataka kumtreat hivyohivyo - utapigwa KO mapema sana.
gud
 
Back
Top Bottom