Ilishawahi kutokea picha yako kuikuta kwenye ‘Avatar’ ya member mtandaoni?

Ncha Kali

JF-Expert Member
Joined
Sep 19, 2019
Posts
15,335
Reaction score
29,114
Swali limeisha hilo.

Kama imeshakutokea, au ikitokea.... utachukuliaje..?

Let alone the so called public figures au verifaidi yuzas.

[emoji1492]‍♂️[emoji1492]‍♂️[emoji1492]‍♂️[emoji1492]‍♂️[emoji1492]‍♂️[emoji1492]‍♂️
 
Ilishanitokea nimekuta mtu kaandika jina langu kwenye siti ya basi

Hizo mara nyingi wanafanya wanafunzi, kama ni mitaa ya kwenu itakuwa ni mtu anakufahamu... au majina yamefanana tu.?
 
Mie Status za whatsapp kuna lijamaa limeiba picha sijui wapi (situmii IG,FB) nahisi kuna mtu alinipost status lenyewe likaiba picha likapost kwake.. Na caption kaelezea kuwa ni yeye.. Kwa kuw pic zangu huwa naficha sura basi ukawa mtindo wake.. Hapo kuna Manzi anamchora tu akaw ananiambia "kuna jamaa linajfanya ndo wew" ah nabak kukausha tu.. Sio mar moja au mbili.. 2jitahd ku2mia pic zetu maana sheria ya kimtandao Cyber law act ipo na ni pana! Utashtakiwa kosa kubwa mno.. ELIMU wengi hatuna.
 

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Hivi hiyo huwa inawezekana vipi, unatumia picha ya msela halafu siku ya kuonana unajiaminisha tu kuwa demu ni kipofu..?
 
Imewahi kutokea..

Nina kabinamu kangu kanatabia ya kuweka picha zangu dp ya WhatsApp yake..namkaushiaga tu.
 
Nitamwambia hiyo picha ni yangu, ifute kabla hujawaambia watu kwamba hiyo picha ni yangu.



Nahisi ataifuta😓😓
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…