Ilishawahi tokea siku umevaa nguo hadi ukajijua umependeza?

Ilishawahi tokea siku umevaa nguo hadi ukajijua umependeza?

Bavaria

JF-Expert Member
Joined
Jun 14, 2011
Posts
53,092
Reaction score
53,496
Kuna siku imeshanitokea ukapiga pamba hadi ukajikubali mwenyewe?
Leo imenitokea. Sijafika nnapokwenda ila sitashangaa kuambiwa nimependeza.
 
Kupendeza ni kila siku hata nikivaa kanga.
 
Nikifika Ofisini Tu mdada wa Mapokezi atasema Tu kuwa Leo nomaaa hapo bado Yule Mwana mama HR wangu nae atatoa sifa zake
 
Kuna siku imeshanitokea ukapiga pamba hadi ukajikubali mwenyewe?
Leo imenitokea. Sijafika nnapokwenda ila sitashangaa kuambiwa nimependeza.
Kuna siku mwenyewe nimetinga viwalo nikajikubali basi nikampita chizi fresh mmoja hivi, basi wakati napita akasema 'hii mitumba siku hizi inasaidia'.......🙂🙂🙂
 
Kuna siku mwenyewe nimetinga viwalo nikajikubali basi nikampita chizi fresh mmoja hivi, basi wakati napita akasema 'hii mitumba siku hizi inasaidia'.......🙂🙂🙂
Ulitamani hata umpige ila sema tu ni chizi
 
Kuna siku mwenyewe nimetinga viwalo nikajikubali basi nikampita chizi fresh mmoja hivi, basi wakati napita akasema 'hii mitumba siku hizi inasaidia'.......🙂🙂🙂
Haha. Lazima ukasirike..
 
Kuna siku mwenyewe nimetinga viwalo nikajikubali basi nikampita chizi fresh mmoja hivi, basi wakati napita akasema 'hii mitumba siku hizi inasaidia'.......🙂🙂🙂
Ha haaa kwani uongo si inatusaidia kweli[emoji85]
 
Kuna siku mwenyewe nimetinga viwalo nikajikubali basi nikampita chizi fresh mmoja hivi, basi wakati napita akasema 'hii mitumba siku hizi inasaidia'.......🙂🙂🙂
Hahahahahahaha duuu
 
Back
Top Bottom