Ilkuwa ni ndoa ya mkeka ya wake wengi sasa haitaki tena.....


Ex-R.C wa iringa......................Mohammed Kissocky naye hayo yalimkumba na akampiga risasi mke mdogo na kujipiga mwenyewe........sikumbuki hili balaa liliishia vipi.......
 
Mama Isaack........hujui mume akizeeka anahitaji kidori wa kumrudishia ujana wake hata kama ni kuona bado yuko kwenye chati...........

ndo mwanzo wa kuibiwa cause mume keshakua kibabu mke bado binti lazima asaidiwe hata kama hataki..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…