NOTE. only agreement enforceable by law ndyo zinaweza kuleta legal action na kama ziliingiwa with free parties consent, kama mmoja alilaghaiwa au kulazimishwa ingawa ni illegal contract anaweza kuleta suit.
kutoka kwenye scenarion yako court cannot entertain such case kama both parties walikuwa wakijua ile inshu ni illegal na waliagree bila vitiating factor yoyote. kuna case mmoja ya zanzibar waliagree kufanya homosexual baada mmoja kufanya akagoma kufanyiwa court ilitupa kapuni ile case kwa sababu ilikuwa ni illegal contract.
haijalishi kama ilikuwa agreement formed by mouth au documentary
My understanding is that,any contract is commonly governed by five elements.Back to your facts,since the services rendered were illegal,then the same does not fall in good contract category,therefore contrary to public policy.From the very date when the said contract entered(though orally) the same was void abinitio,incapable of being executed.
But so long as somone else enjoyed the benefits then the court will look at the issue and determine the illegality. There are relevant case laws that have discussed the issue.
what's the difference... contract mliingia ni void au voidable
I will be much obliged if any authority in support of your proposition cited.
I will be much obliged if any authority in support of your proposition cited.
Just read the concept of In Pari delicto and how it evolved overtime.
nimependa kiingereza yako! ya kule kule kwa wenyewe
Msidanganyane.I will be much obliged if any authority in support of your proposition cited.nimependa kiingereza yako! ya kule kule kwa wenyeweAhsante
Msidanganyane.
"I will be much obliged if any authority in support of your proposition is cited."