Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nipo long time, nilikuwa natoa neno la shukrani kwa walionikaribisha kwa mara ya pili.Karibu
Mkuu karibu ila huku tofauti na ile mitaa ya Instagram na Facebook.ushauri wa bure minya kwenye kona uijue mitaa vizuri
Karibu tenNipo long time, nilikuwa natoa neno la shukrani kwa walionikaribisha kwa mara ya pili.
Account ya mwanzo ilikuwa 2012 nilisahau password.
Utaratibu wa hapa ni kwamba kama wewe ni new member unapaswa kuweka picha zako tatu tofautitofauti hapa pamoja na namba yako ya simu, sawa?
Shukran kwa salamu nami nakusalimia pia
Majukumu tu yamenizidia tuko pamojaNashukuru dada. Umenitupa sana siku hizi.
ᴸᵉᵍᵉⁿᵈᵃʳʸ [emoji377]