Im a single boy.....

tindikalikali

JF-Expert Member
Joined
Jan 14, 2011
Posts
4,854
Reaction score
1,129
Im a single boy!
Perfect boy.....
...........karibu chama la
bachela..ukinipenda
tunamalizana leo leo tuu
Siku hizi kwa
kudanganyana.. mvulana
msichana ishakua poa poa
tu
Hakunaga mapenzi yale ya
kugandana gandana ni
zama za kale..........
---------------------------------------------------------
Hao ni Ally K na Jide na ujio
wao mpya....alafu bado
tunaambiwa wasanii ni
kioo cha jami
 
Kwani Jide yupo single?😛hoto:
 
Du! mambo hadharani wameamua kuudhihirishia umma kwamba kama wasanii hawana jukumu la kuonya,kufundisha na kuburudiha kwani siulewi hata maana yake ni nini?wasanii zamani bwana, sa hivi usharobange tu ndio uliobakia.
 
Mi nakerwa na hayo maudhui hapo juu..

Lakini nakerwa zaidi na matamshi,au matumizi ya maneno,na makosa mengi ya kawaidakawaida...
Mfano pa kutakiwa kusema "la azizi..",mwimbaji atamke "ra azizi..."
 
wanaelezea vijana wa sasa wanavyoishi.
wasanii wanaweza kuonya lakini pia wanaweza
kuelezea nini kinaendelea katika jamii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…