I'm addicted to "BEKI TATU"

Tatizo la hawa viumbe sometimes mnakula nyumba nzima bila kujijua kuanzia baba, wewe, mkatamajani, muuza njegere,muuza urembo na hata mgeni anayekuja kuwatembelea/kuishi na ninyi hapo home. Kumbukeni kondom otherwise mtaondoka kwa mstari.

Imenigusa sana hii, Nipo mkoani kikazi nipo kwenye hotel moja nzuri sana hapa mjini. Muanzilishi wa hotel hizi alifariki akiacha watoto wanne wakiume wawili na wakike wawili. watoto wa kiume waliendeleza biashara hii na kufungua nyingine kubwa ya 3stars ambayo nipo kwa sasahivi. Mwakajana na mwanzoni ya mwaka huu hawa jamaa walifariki....... sitaki kuzungumzia familia/wake zao ila achana na ma house girls watawamaliza. there are so many womans out there. mtapukutika
 
sitaki kuzungumzia familia/wake zao ila achana na ma house girls watawamaliza. there are so many womans out there. mtapukutika

Hivi jamani mbona kila kilichokuwa kitamu mnatukataz?? mara, uvutaji wa sigara ni hatari kwa afya yako, sukari nyingi itakuletea kisukari na BP, vyakula vya mafuta sio vizuri, unywaji wa pombe kupita kiasi ni hatari kwa afya, mara wanawake wa baa achaneni nao, mara kula tigo sio ustaarabu, sasa mmeamua kuharamisha hata starehe yetu ya bei rahisi HOUSE GIRLS?
 
Ndugu nakunong'oneza....unajiaibisha bana. Tafuta demu mwingine ati...... Jaribu kuweka social distance na housegirls mbali kidogo....kuwa serious bana. Labda kama wewe ni wakiume, ila wanaume sisi heshima muhimu. Siyo kila kirahisi unapita bana.....
 

Like father like son, ukiwa na tabia ya kula ma beki3 ujue sio peke yako zaidi mnafanyiana timing tu hapo nyumbani.
 
Sijaelewa unatoa info, unaomba ushauri, au unajisifia?
 
Hivi hawa kuna cha kutongoza? Maana usije ukawa unajiona unajua kutongoza...
Jasho lao sasa! mamaweeee!! utajuta kuzaliwa,, hata ukioga unamsikia yeye tu.....Bwaaaahahhaaaaaaa:bange:
 
Mrudie muumba wako ndugu yangu,. zama hizi sio za kuendekeza hayo mambo, Una ndoto zako, emb jaribu focus katika hizo na jitahidi pitia neno la Mungu mara kwa mara,., utafanikiwa kuacha ukidhamiria na kuamini. Mungu akusaidie
 
Reactions: mja

Atakayekuja kuwa mkeo ana kazi kubwa kweli kweli,labda aweke houseboy!Kama umeshindwa kujicontrol sasa hata ukija oa utaendeleza uchafu wako.Kama ni kupitiwa labda ndio "unakua"....mpaka wanafika 13??????You are so weak to be called a MAN.
 
Haya ndio matatizo ya hawa vijana wa sasa, anafanya ufisadi halafu anajisifu.
 

You must stop that gross behaviour, sir!
Shame on you for degrading and humilliating these innocent house maids, and you have to keep in mind that they are women just like your sisters or nieces, and therefore deserve some respect
 
Tatizo la hawa viumbe sometimes mnakula nyumba nzima bila kujijua kuanzia baba, wewe, mkatamajani, muuza njegere,muuza urembo na hata mgeni anayekuja kuwatembelea/kuishi na ninyi hapo home. Kumbukeni kondom otherwise mtaondoka kwa mstari.


mkuu leo senksi hazipo? Ujue umenikumbusha mshikaji wangu mmoja, alikuwa na brother zake watatu walah walikutana siku moja ndani ya chumba cha house gal...Kila mmoja akamuuliza mwenzake unafanya nini humu? Majibu ya hayo maswali mhhhhhhhh......
 


Sio Addicted wewe ni LAME, yaani mvivu wa kufikiria...Eti unasema hawakatai...Akikataa visa utavyomfanyia hapo home kweli atahimili mtoto wa watu? Mie nilikuwa rafiki mzuri sana wa mahaouse gals home, msichana wangu akija walikuwa wakalimu tena mpaka msichana wangu alikuwa anataka kuja kuongea nao....Wengi wameolewa na kila siku wananiitaga Kaka, kaka au Mjomba ni heshima kubwa sana ukikaa nao vizuri....Mkuu nenda nje katafute na kujipima uanamme wako kwa kutongoza lasivyo ndoa yako itakushinda
 
You must stop that gross behaviour, sir!
Shame on you for degrading and humilliating these innocent house maids, and you have to keep in mind that they are women just like your sisters or nieces, and therefore deserve some respect

With all due respect, you are also degrading and humiliating us with your avatar. Though its a good artwork but somewhat sordid and obscene.
 
KIJINSIA WANYANYASA

Ni madada wa nyumbani,kiheshima twawaita,
Acha mateso jamani,jehanamu yakuita,
Wawaingilia vyumbani,bila hata ya kusita,
Kijinsia wanyanyasa,tena kosa kisheria.

Unadhani labda sifa,idadi wahesabia,
Eti unayo nyadhifa,kila siku wachambua,
Eliza,Asha,Anifa,Pili naye Sikujua,
Kijinsia wanyanyasa,tena kosa kisheria.

Kwenu wameajiriwa,riziki wanatafuta,
Mshahara watakiwa,mwisho wa mwezi kuwalipa,
Nasikia watishiwa,wakigoma hutowapa!
Kijinsia wanyanyasa,tena kosa kisheria.

Elimu waloikosa,kumbuka hawakupenda,
Vipi kama angekosa, DADA yako ungependa?
Ujasiri wanakosa,kirahisi wawapanda,
Kijinsia wanyanyasa,tena kosa kisheria.

Wewe utu umekosa,hakyanani nakwambia,
Imani umeikosa,Dini huna ninajua,
UANAUME umekosa,kujiamini hujajua,
Kijinsia wanyanyasa, tena kosa kisheria.

 
With all due respect, you are also degrading and humiliating us with your avatar. Though its a good artwork but somewhat sordid and obscene.

Faiza, pleaaseeee!!
My avatar represent the picture of Sigmund Freud wearing a pair of reading glasses with a Mark Twain's moustache, unless you see something else.......LOL!!
Back to the topic, I think this behavior of degrading and humilliating maids in any way must stop
 
KIJINSIA WANYANYASA

Ni madada wa nyumbani,kiheshima twawaita,
Acha mateso jamani,jehanamu yakuita,
Wawaingilia vyumbani,bila hata ya kusita,
Kijinsia wanyanyasa,tena kosa kisheria.

MMhh kwakweli cha kusema sina zaidi ya Girl You Have Got Talent

Nimeona post zako kama mbili nikadhani unabahatisha lakini sasa nimeamini you have talent

"Form is Temporary but Class is Permanent"
 
With all due respect, you are also degrading and humiliating us with your avatar. Though its a good artwork but somewhat sordid and obscene.
I think its rather unique and creative..., infact there is nothing obscene about human body...,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…