sawa umekula beki tatu wenu wote...sasa sie hili linatuhusu vipi.
hizi ni sifa za kijinga.
KIJINSIA WANYANYASA
Ni madada wa nyumbani,kiheshima twawaita,
Acha mateso jamani,jehanamu yakuita,
Wawaingilia vyumbani,bila hata ya kusita,
Kijinsia wanyanyasa,tena kosa kisheria.
Unadhani labda sifa,idadi wahesabia,
Eti unayo nyadhifa,kila siku wachambua,
Eliza,Asha,Anifa,Pili naye Sikujua,
Kijinsia wanyanyasa,tena kosa kisheria.
Kwenu wameajiriwa,riziki wanatafuta,
Mshahara watakiwa,mwisho wa mwezi kuwalipa,
Nasikia watishiwa,wakigoma hutowapa!
Kijinsia wanyanyasa,tena kosa kisheria.
Elimu waloikosa,kumbuka hawakupenda,
Vipi kama angekosa, DADA yako ungependa?
Ujasiri wanakosa,kirahisi wawapanda,
Kijinsia wanyanyasa,tena kosa kisheria.
Wewe utu umekosa,hakyanani nakwambia,
Imani umeikosa,Dini huna ninajua,
UANAUME umekosa,kujiamini hujajua,
Kijinsia wanyanyasa, tena kosa kisheria.
Acha zako wewe teh! Kula mwenyewe!
Katika anasa na mabek3 utawaweka? Sema tunasaidiana kupunguza ila co anasa.Ivi wewe jitahidi kufanya mambo ya mhimu, mf we ni mwanafunzi kazana kusoma acha anasa na ma beki 3
bravo!! kutomba ni kutoa huduma, so, endelea kutoa huduma kijana!!Cjui hata nianzie wapi,
Tokea form1 nyumbani tumepokea wafanyakazi wa ndani tofautitofauti,
Mpaka sasa wanazidi kumi na tatu(13),na wote nimekua nikiwalala,tukiacha wengine wamajirani.
Na kila nikiwatongoza hua hawakatai.cjui hata nifanyaje mana hata familia yangu nahis imeshagundua tabia yangu.
Cjui hata nianzie wapi,
Tokea form1 nyumbani tumepokea wafanyakazi wa ndani tofautitofauti,
Mpaka sasa wanazidi kumi na tatu(13),na wote nimekua nikiwalala,tukiacha wengine wamajirani.
Na kila nikiwatongoza hua hawakatai.cjui hata nifanyaje mana hata familia yangu nahis imeshagundua tabia yangu.
<br />It is said ''evil exists in our society not because of the acts of bad people, but because of the silence of good people''. Please stop taking advantage of these poor and helpless girls from the village. Usije kusema kwamba huwa ukiwatongoza hawakatai, siyo kweli. Wanakubali kwa shingo upande kwa kuhofia vibarua vyao kuota nyasi. Huo ni unyanyasaji wa kijinsia na ni kosa la jinai mbele ya sheria.<br />
<br />
Lakini sheria hata zikiwa nzuri namna gani, kama jamii yenyewe ''imeoza'' na imekumbwa na mmomonyoko mkubwa wa maadili kiasi cha mtu kufanya jambo baya na kujisifu na hata kusifiwa na wenzake, sheria hizo haziwezi kutusaidia sana. Kama Watanzania, tunatakiwa kujenga jamii ya watu waliostaarabika wenyewe. Matatizo mengi tuliyonayo yanachangiwa kwa kiasi kikubwa sana na jinsi tunavyofikiria na kupambanua mambo yanayotuzunguka katika jamii zetu ''MIND-SET''.
bravo!! kutomba ni kutoa huduma, so, endelea kutoa huduma kijana!!
sawa kaka angu... nilifikiri tupo kwenye lile jukwaa letu aisee!tumia tafsida mkuu,ingawaje wengi wetu ni watu wazima lakini kuna maneno hayapendezi sana kuyasikia au kuyasoma
Tatizo la hawa viumbe sometimes mnakula nyumba nzima bila kujijua kuanzia baba, wewe, mkatamajani, muuza njegere,muuza urembo na hata mgeni anayekuja kuwatembelea/kuishi na ninyi hapo home. Kumbukeni kondom otherwise mtaondoka kwa mstari.
bravo!! kutomba ni kutoa huduma, so, endelea kutoa huduma kijana!!
&lt;br /&gt;<br /><br />tatizo ni 'bure' mabeki3 wajinga wakitakwa na fatherhouse, au watoto w amwenye nyumba wanajiona wameukata sana wanapanua tu bila kufikiri. kwa yeyote mwenye tabia hizi ajifunze kwa hayo yaliyoandikwa hapo juu mtakwenda kwa mstari sio siri maana we ukiwa shule atapita muuza urembo akimpaka rangi tu kapanua, akienda gengeni akiongezwa nyanya masalo tu kaachia, akipanda daladala konda akimshika **** tu kachanua, baba nae akingoja wote hampo nyumbani anamchapa, mkata nyasi ndio usiombe mara bustanini mara mabandani mwa ng'ombe!! mie nilikuwa na beki3 alipewa mimba na mpaka rangi... imagine wiki 1 tu ya kupaka rangi ilizaa matunda binti akazaa mtoto ambaye hata hakujua pa kumpata baba maana mie nilikuwa namjua fundi kwa simu alipojua alichokifanya akabadili simu na ikawa ni mwisho wa kuonana hd leo binti kabaki kwao na mtoto wa kiume asie na baba mwaka wa 7 huu!!!!