I'm addicted!

Mpe pole lakini kwanini usimjumlishe kwenye safari yako ya Mbinguni utakuwa umemsaidia sana Compaq
 
Mchumba wa kimanga huyu naona anakuja lesi...nitamuibukia mimi huko Sharjah maana naona hao wamanga wenzake hawawezi shughuli....

Noname where u at?
nani mmanga? mie msukuma...unabisha?
 
bhebhe ngosha makoye gete...sikwambii
 

mimi kwakweli chatting nikosa net maisha magumu
 
Yaelekea we ni 'mlokole' kupinduka. Nilidhani ni JAMBO KUBWA KWELI! Ila kivingine si jambo dogo maana si maadili. Addiction and obsession seem to be inversely proportional to the law of diminishing marginal utility. Sala pekee si tiba kama mazingira yanaruhusu kuendeleza kosa. Aghalabu madhara ya jambo fulani huwa ndio ukomo wake. Watu walikula unga na wakaacha sembuse pono? Vitu vingine ni kupiga moyo konde tu na kuhamishia hisia katika maisha ya kawaida. Hiyo addiction inasababishwa na uwezekano finyu wa kuapply kile akionacho kwenye pono. Na inashindikana kwa vile pono ni kama vitu vya kufikirika na hatia ya kupitiliza. Aelewe tu kwamba dhambi si za hao wanaotenda tu bali nao waangaliao. Akiweza kuifufua dhamira yake na kuhisi hatia basi ataacha tu
 
Huyo ameshaja aliye Mloga. kapona tayari.

kwa vile ameshajua kua anatatizo hilo. mwambie aamue kuacha kama vile alivyo amua kuanza.
kila jambo lahitaji maamuzi na kuwajibika juu ya maamuzi hayo. asitake kufuga maradhi, dawa ni uamuzi wa kuacha na kuchukia tabia mbaya sana hiyo. Acha mara moja. yanini mwili ukusumbue jitawale tena apende zaidi kujumuika na wale watu anao waheshimu na kuwaamini tena anawaogopa ili asiwe na muda wa kuangalia hayo maovu. nayaogopa hata kuyasema.

Hebu jaribu mda wako wa ziada kusikiliza mawaidha na nyimbo za dini. hakika utabadilika haraka sana utashangaa!!
 
nani mmanga? mie msukuma...unabisha?

Mmmh, nahisi wewe ni ndugu yangu: maana wewe ni msukuma wakati mimi ni msumbo.... karibu nyumbani.
Just kidding. Wasukuma ni watani zangu.
 
Mmmh, nahisi wewe ni ndugu yangu: maana wewe ni msukuma wakati mimi ni msumbo.... karibu nyumbani.
Just kidding. Wasukuma ni watani zangu.
wabeja.... sasa unanikaribisha au unanitania? lol nakuja ila mie sili ila ugali na maziwa.....
 
Shukrani wote..nimeongea aneye jana church..I told him whatever u guys wrote! I really hope that things will go well with him..na mimi pia nimejifunza mengi!
B blessed...
 
Shukrani wote..nimeongea aneye jana church..I told him whatever u guys wrote! I really hope that things will go well with him..na mimi pia nimejifunza mengi!
B blessed...

Haya mambo ya addiction (kwa vitu tofauti) yanawatokea watu wengi tu ila sema ni wachache kama huyo jamaa yako wanaweza kujistukia kuwa wanakoelekea siko. Kwa hiyo, huyo mshikaji mpena mwambie kuwa tayari keshapita hatua ya muhimu sana. Ila baada ya hopo anatakiwa kwenda mbele zaidi kwa kuondoa mazingira yanayomsababishia kuvutika kwenda kwenye hizo picha. Kwa ufupi atupe au aachane na source zote. Nadhani ni rahisi kufanya hivyo kwani hiyo addiction haiweza kuwa na pycho-physiological impact kubwa kama ya mvuta sigara anayetaka kuacha. Mwisho mshauri aachane upweke au kundi lake la zamani lililokuwa linamvutia kwenye hiyo tabia. Atafute girl friend au ajiunge na vikundi (kama kwaya ya kanisani, timu za michezo n.k) ambavyo vitamsaidia kupitisha muda ili aepuke kuwa na muda wakati kama huo ambao huwa anaangalia hivyo vitu.

Remember; If you want to change the fish, you have to change the water first!!
 
Ukimuachia Mungu yatamshinda? Na ni wapi Mungu kasema "hamsaidii mtu kama hajajisaidia"?
huu msemo wa jisaidie kwanza ndio mungu atakusaidia unapotosha sana kiasi cha wengine kudhani imeandikwa ktk biblia.
 
Kumbe unaweza kuwa addicted na hii kitu mpaka ukashindwa kuacha ..thanx god sipendi kabisa kuangalia haya mavitu..kama anazo ndani basi ahakikishe amedisposal asibakishe hata chembe moja na kama ni kwenye laptop afute kila kitu ibaki nyeupe kabisa labda mwanzo anaweza kupata tabu kukaa bila kuangalia lakini jinsi anayendelea atazoea ..
 

jitoe muhanga one tyme uangalie majamboz... utakuwa mwalimu bora zaidi!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…