Elections 2010 I'm done with Kikwete! - Say NO to Second Term!

Mkjj,

Tuambie hiki kijalida tunakipataje ili tuanze kukisambaza hapa Mwanza, Mara na hapa Shinyanga? Nitatumia gharama zangu Mkuu.

Naomba ufafanuzi Mkuu
 
Ni matatu lakini Unachosema ni kimoja. you are out till he is out (kikwete). Hilo la mtu kufikia 11,000 kwa vile umeweka neno "au" i take it as closely related. To retreat yes! kwa wote tunahitaji from time to time, lakini timing yako ndio inanipa hofu. The 12th of October is very close and i believe that the start to 2010
 
Hakika jk hatufai watanzania na hili limejitanabaisha leo. Mkakati wa mwanakijiji wa kuimarisha kijarida cha cheche za fikra ni hakika na kweli. Right spika 6 angekuwa ndo rais tungepeta kwani hakika hakuridhishwa na hayo maongezi ya masaa ma4 ya rais wake.

Mmkjj nakuunga mkono ila usikae likizo ya moja kwa moja uwe unajitokeza japo kusema hi
 
Pamoja na yote haya Kikwete atashinda kwa landslide 2010.
 
watu mnasahau kuwa tz haijengwi na jf pekee

kwani tanzania ina watu wangapi ? Wangapi kati yao wana weza kusoma na kuandika wangapi wana access ya mtandao

jf ina wanachamba wangapi waliojisajili na kuchangia mara kwa mara ?

Ukifanya hilo jibu unalo

mimi mailing list yangu ina wanachama karibu 7060 ambao nina badilishana nao mawazo kila siku wengi wako tanzania ni wafanyakazi haswa wa sekta binafsi
 
Poleni wote waliyotegemea JK kusema kitu cha maana. Huyo jamaa ni msanii na ataendelea kuwa hivyo mpaka mwisho wake.
 
...Autopilot or not, ni wajibu wake kutimiza sera za Chama chake, chama cha Mapinduzi. Kama Kikwete hafai, inamaana serikali ya CCM haifai. CCM ndio iliyomchagua Kikwete awe mgombea wake. Watanzania, kwa matarajio ya wengi, CCM pekee ndio inayoonekana ni chama makini kuongoza nchi nzima. Hata akitoka Kikwete atayeteuliwa na CCM ataendelea kupeta tu kwenye uraisi.

...CUF wanakubalika Pemba, CCM wanakubalika Unguja na almost Tanzania nzima, Chadema bara hasa mijini, UDP shinyanga etc etc, huu sio ushindano mahiri, labda Opposition waje na coalition yenye nguvu na umoja wa kitaifa.

...nikiangalia Economic performance ya serikali ya JMK nadhani bado wanajitahidi; ahadi za ARI, NGUVU na KASI MPYA kwa kweli zilikuwa hyped tu,




......au kipimo cha jumla cha uraisi ni kuwashikisha adabu wazembe wazembe? sidhani. Tutake tusitake watanzania wengi NDIVYO TULIVYO! tunaoneana haya sana inapokuja suala la uwajibishwaji

...kama nchi ipo kwenye AUTOPILOT na bado kuna amani na usalama, na takwimu hizo hapo juu zinaonyesha stability and growth kwenye economy, naamini wanajitahidi.

anyway, labda leo nimeamka na mtizamo chanya zaidi!
 
Mhhhh! Tusemeje!

Ni mchezo wa kuigiza na usanii ,tupu haswa ukifanyikia kwenye jumba takatifu la bunge.
 


MwanaKJJ pole sana .Mkuu siamini kama kwamba bado uliamini kwamba JK could have came up with a serious Hotuba .Maana hana record ya ktenda wala kuwa hotuba ya utendaji wake kuanzia akiwa Mjumbe wa nyumba kumi na michezoni na hata ndani ta CCM , Mbunge na waziri na sasa Rais .Matendo ya JK ni reflection ya wana CCM na washabiki wao .
 
Lunyungu... wakati ya Young African (labda na hapa) niliwahi kuandika kitu ambacho nilikiita "Hotuba Kikwete angetoa". Hadi hivi sasa sijaona hotuba ya aina hiyo...
 
Hakuna hata sababu ya kusubiri mpaka 2010. Ajiuzulu sasa hivi maana nchi imemshinda...


Ni rahisi kuvunja muungano kuliko Kikwete kukubali kujiuzulu! Sasa cha kufanya ni kuuvunja Muungano ili kusiwepo na kitu kinachoitwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania!

waZanzibar (Raza, Shamhuna, ..) tusaidieni kutekeleza mpango huu!!
 
Mzee Mwanakijiji,

Asante sana kwa hii article. Wala hii si ku-retreat. Katika mapambano yeyote kuna wakati tunahitaji TACTICAL changes to achieve our Objectives. Tuko pamoja kwenye Cheche. Kuna jamaa zangu wengi tu hawana kazi ambao niko tayari kuwalipa wasambaze hiki kijarida bure. Kwa sasa tunasambaza mikoa ya kati.
 
Ni rahisi kuvunja muungano kuliko Kikwete kukubali kujiuzulu! Sasa cha kufanya ni kuuvunja Muungano ili kusiwepo na kitu kinachoitwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania!

waZanzibar (Raza, Shamhuna, ..) tusaidieni kutekeleza mpango huu!!

Mkuu wa Kijijini leo nimejionea maajabu leo kwa ile hotuba .Nimeshangaa mno
 
...to move forward CCM & Mkwere JK must go,lakini sioni akienda hata kwa ballot box 2010,wananchi wanaompa kazi wana deserve huyu bwana na yote yanayoendelea....na kama kitu kilichonihakikishia JK tunaye mpaka 2015 ni ule uchaguzi wa Kiteto ulioipa CCM landslide huku ufisadi ukiwa katika peak na news zote zilikuwa wazi nini kinaendelea lakini what happened? Lowassa kajiuzuru kwa kashfa kubwa kama ile ambayo imefanya suffering kwa nchi nzima lakini kaishiwa kupewa red carpet,Karamagi ndio na mkataba umeongezwa ingawaje ukiangalia vizuri kuna utapeli ulitokea walipopewa mara ya kwanza,Mkapa ndio huyo tumeambiwa tumwache mzee apumzike na tuna kidomo domo,acha njaa ziwapige wananchi labda watapata akili!
 
Mkuu wa Kijijini leo nimejionea maajabu leo kwa ile hotuba .Nimeshangaa mno
Mkuu si ilikuwa aibu mule ndani.....nahisi ulitafuta sehemu ujifiche baada ya kusikia pumba za Vasco da gama.....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…