Naona amani imetawala ndoa na yule HATER tumempotezea mbali.......
Yes my love,I am very fine.Nilikuwa kule chumba kingine kwenye takukuru,lakini nimelala unono na ndoto nzuuuuuri sana.nitaku-PM kukusimulia hizi ndoto.You have said it darling! Me too. Nadhani watu watalishuhudia penzi letu siku ya kufungua shampeni kwa ajili ya kudumisha ndoa ya bwashee wangu na dada yangu ambaye ni wifi yako. Hahahaha! By the way, how are you sweetie? Did you had sweet dreams?
I agree kabisa, its a taboo to imagine mikiki ya sista, its abormination ooh!utakufa presha bwa-shee!au umesahau kuwa ni dada yako?
bai dhe wei leo shemeji sitapenda tuizungumzie mechi ya jana kombe la kalingi sijui kati ya bwawa la maini na washika binduki!samahani kwa kutoka ofupoint😀
yes my love,i am very fine.nilikuwa kule chumba kingine kwenye takukuru,lakini nimelala unono na ndoto nzuuuuuri sana.nitaku-pm kukusimulia hizi ndoto.
Halafu tusije tukaenda off -point,au hii thread ya shem geoff tunaruhusiwa?
We ni-PM tu, ntakuunganishia mpwa. Vipi yule aliyejifungua jana? Lakini kale katabia kako kakubadili badili dada zangu huwa hawanaga uvumilivu! Hahahaha hehehe!
Ukweli ntakuja kusema hapa wala sitaficha.Afu ukishawaona, utakuja kukana yale masentensi yako kwenye ile thread au utauchuna? Goodmorning binamu, kumbe hatijasalimiana!
Yes my love,I am very fine.Nilikuwa kule chumba kingine kwenye takukuru,lakini nimelala unono na ndoto nzuuuuuri sana.nitaku-PM kukusimulia hizi ndoto.
Halafu tusije tukaenda off -point,au hii thread ya shem Geoff tunaruhusiwa?
I agree kabisa, its a taboo to imagine mikiki ya sista, its abormination ooh!
Mwenzenu akili haijakaa sawa sawa mpaka leo kila siku zinavyo zidi kwenda mapigo ya moyo yanaongezeka.
Wapwa mnaikumbuka hii listi?
-Sahau Kambi
-Minziro
-Ken Mkapa
-Godwin Aswile
-SAlumu Kabunda
-Isa Athumani
-Sanifu Lazaro
-Athumani Abdala China
-Makumbi Juma
-Justine Mtekele
-Thomas Kipese
Subiri Jumamosi tutakapokupa ile habari njema. Afu Jumapili tunafanya cheers kwa ajili ya Geoff & Sisy na Wekundu wa Msimbazi kwa pamoja.
Thubutu mpira umesha chezwa tayari Unguja na Bagamoyo sasa subiria matokeo jmosi tu.
.....YES!i am going through the hell,because she makes some silly mistakes and I FO0RGIVE,FORGET then we start over.but she keep making mistakes kila kukicha.
THE WORST PART OF MY MARRIAGE NI KWAMBA,nilipojaribu kumshirikisha kaka yake ili amshauri kuwa makini nimeibua tatizo jingine kubwa.she can't talk to me for three days now.na ananiita mnafiki,na mbeya.nikimwambia tukae tujadili mahusiano yetu hataki tena.ni visilani kila kukicha.
i am going through the hell!i can't keep quite just like that.i have done so much to fight for what belongs to me!
We vipi tafuta msaidizi wake huko nje usimbembeleze wala kuomba unyumba mpaka ashangae na kama home kuna wale mahausigeli wa Singida au Kondoa punguzia hasira zako hapo demu anataka kukuendesha ka gari bovu?
Morning bro/ma
You mean she/he? Mabox au? Hahaha! Watu bana!
Yes! hasomi mteremko anakurupuka na kuharibu ndoa tulioimarisha kwa siku nzima ya jana au ni best friends new ID? U KNOW WORA M SAYIN'
Geoff,
Pole sana kwa hali/matatizo unayopitia kwa sasa. Kwa kweli ndoa haina operators manual ya kusema if you go by the book everything will be alright. Cha muhimu sana kwenu ni mawasiliano na pia kusameheana pale mnapokoseana. Nadhani mkeo kaamua kukuchunia kwa sababu ulijaribu kuacha njia yenu ya mawasiliano ya siku zote (baina yako na yeye) na kwenda kumshirikisha third party ambaye ni kaka wa mkeo(shemejio).
Nina uhakika we ulitegemea mambo yangeenda sawa kwa kuwa labda anmheshimu sana kaka yake na hivyo angemsikiliza - kwa kufanya hivyo ulimdhihirishia kwamba wewe hujiamini kwamba unao uwezo wa kumuambia jambo na akakusikiliza(hii ni weakness).
Kwa sasa nadhani ujitahidi kwanza uimarishe njia zenu za mawasiliano, muwe wawazi katika maongezi yenu.
Muhimu zaidi ni kwamba hakuna hata mtu mmoja zaidi yako wewe na mkeo ambaye anaweza kuyafanya maisha yenu yawe heaven, I tell you hata wazazi au wachungaji hawana huo uwezo cos hayo ni mambo ya ndani yenu na mnayajua vizuri nyie wenyewe. Try as much as possible to solve your issues by yourselves....
Good luck...