So sorry Man ila kama wengine walivyosema first wasiliana na wazazi kwanza ili upate mawaidha yao najua wazazi wengi busara imejaa na wataliongelea hilo tu! Ila vumilia mkuu machungu ya ndoa ni mengi hope things will be Ok!Well,
She is doing some silly mistakes.ai miin utoto utoto fulani.last incidence ametapeliwa na vijana simu,pochi na hela nyingi tu.sijui kilichoendelea mpaka wakamuwekea cocain kwenye soda.kakutwa amezidiwa kwenye fukwe mojawapo hapa dar.namshukuru msamaria aliyemuokota akaikuta kadi yangu kwenye jeans yake na kunipigia simu.thank god hakubakwa!
well,sitaki kulikumbuka hili
.....YES!i am going through the hell,because she makes some silly mistakes and I FO0RGIVE,FORGET then we start over.but she keep making mistakes kila kukicha.
THE WORST PART OF MY MARRIAGE NI KWAMBA,nilipojaribu kumshirikisha kaka yake ili amshauri kuwa makini nimeibua tatizo jingine kubwa.she can't talk to me for three days now.na ananiita mnafiki,na mbeya.nikimwambia tukae tujadili mahusiano yetu hataki tena.ni visilani kila kukicha.
i am going through the hell!i can't keep quite just like that.i have done so much to fight for what belongs to me!
To me, it seems bado ana utoto mwingi labda, you can tell us her age if you dont mind and if you two has a child or not, and from there we can try to come up with some solutions, professionally i mean.Well,
She is doing some silly mistakes.ai miin utoto utoto fulani.last incidence ametapeliwa na vijana simu,pochi na hela nyingi tu.sijui kilichoendelea mpaka wakamuwekea cocain kwenye soda.kakutwa amezidiwa kwenye fukwe mojawapo hapa dar.namshukuru msamaria aliyemuokota akaikuta kadi yangu kwenye jeans yake na kunipigia simu.thank god hakubakwa!
well,sitaki kulikumbuka hili
exactly!infact wewe nitahitaji tuongee vizuri zaidi kwa sababu unahusika moja kwa mooja.hili swala limeniuma kwa muda mrefu kidogo
To me, it seems bado ana utoto mwingi labda, you can tell us her age if you dont mind and if you two has a child or not, and from there we can try to come up with some solutions, professionally i mean.
Binamu Chrispin this time you will need to grow up and ensure Geof has peace at the house especially becouse you are involved directly🙁exactly!infact wewe nitahitaji tuongee vizuri zaidi kwa sababu unahusika moja kwa mooja.hili swala limeniuma kwa muda mrefu kidogo
ooh NO!how long will it take?i am finished.i can't go through this pain.NOT ANYMORE!hapo una kazi ya ulezi bro Geoff.....
manake nikijikumbuka enzi nilipokuwa na miaka 23 nilikuwa na utoto wa kiasi gani, lazima uipate pate hapo......
lakini raha yake mkishajuwana mlivyo vizuri, uta enjoy sana mapenzi yenu ...all the best
Ok then, nionavyo mimi si mtoto kivile maana 22-25, she is a matured woman who need to act responsibly.,kwa vile mmeshaoana mimi nadhani kama mnao mpango wa kuwa na watoto somedays, i mean itf there is no problem healthywise, its about time muwe na mtoto, as a woman akishakuwa na mtoto akili itabadilika, i mean atakua tu bila kupenda, atakuwa resposible na atajua thamani ya yeye kuhakikisha ndoa yake imesimama vema, na pia embarrassing situation kama ya kukutwa beach kaleweshwa haiwezi kumkuta. na hata household yenu itakuwa na furaha maana mtoto ana add furaha sana kwa wana ndoa i can assure you. Otherwise i think kuna umuhimu wa wewe na yeye kutafuta mzizi wa tatizo lenu. all the best.we don't hv kids
her age is btn 22-25
Ok then, nionavyo mimi si mtoto kivile maana 22-25, she is a matured woman who need to act responsibly.,kwa vile mmeshaoana mimi nadhani kama mnao mpango wa kuwa na watoto somedays, i mean itf there is no problem healthywise, its about time muwe na mtoto, as a woman akishakuwa na mtoto akili itabadilika, i mean atakua tu bila kupenda, atakuwa resposible na atajua thamani ya yeye kuhakikisha ndoa yake imesimama vema, na pia embarrassing situation kama ya kukutwa beach kaleweshwa haiwezi kumkuta. na hata household yenu itakuwa na furaha maana mtoto ana add furaha sana kwa wana ndoa i can assure you. Otherwise i think kuna umuhimu wa wewe na yeye kutafuta mzizi wa tatizo lenu. all the best.
Ahaa, now i understand the problem, the problem ni chuo dear. I know it hurts but i have to tell you the truth, kule kuna utoto mwingi sana, na pia most people are living a lie, yani ni full fantasy, kujazana ujinga vichwani sana, sasa yeye anasahau kwamba kaolewa na siyo wenzake wana just boyfriends. so hapa kuwa carefull, na pls give her a child, dont mind abt kumharibia programme zake, i have seen people having up to three children at chuo and they finish up as normal. I can assure you at the moment hiyo tu ndo solution, akishakuwa na mimba ataanza kufikiria reality na akiwa na mtoto ndo kabisaa. go ahead Geof give her a baby.I WILL GO THROUGH YOUR PLAN!infact kaka zake nao wamesema hivyo hivyo.
tatizo anaenda chuo na kurudi.naogopa kumuharibia program.....!hata hivyo ni bora nifanye
i will have to do this,IMMEDIATELY!kwasababu kuna kitu huwa sitaki kianze kubrainstorm mind yangu.sitaki kufikiria kwamba ataanza kunicheat kama washkaji wanavyonitahadharisha..........Ahaa, now i understand the problem, the problem ni chuoydear. I know it hurts but i have to tell you the truth, kule kuna utoto mwingi sana, na pia most people are living a lie, yani ni full fantasy, kujazana ujinga vichwani sana, sasa yeye anasahau kwamba kaolewa na siyo wenzake wana just boyfriends. so hapa kuwa carefull, na pls give her a child, dont mind abt kumharibia programme zake, i have seen people having up to three children at chuo and they finish up as normal. I can assure you at the moment hiyo tu ndo solution, akishakuwa na mimba ataanza kufikiria reality na akiwa na mtoto ndo kabisaa. go ahead Geof give her a baby.
I WILL GO THROUGH YOUR PLAN!infact kaka zake nao wamesema hivyo hivyo.
tatizo anaenda chuo na kurudi.naogopa kumuharibia program.....!hata hivyo ni bora nifanye
you got it right pal!take care.