sawa mama!hapo geoff lazima pia ufikirie na factor ya "uwanafunzi".
ile kuwa mwanafunzi tu tayari inakupa "jeuri" ya kivyengine, unaona life is easy sijui niseme, unajiona bado uko katika HIGH TIMe yako, .....nk
mie kwa nafsi yangu niliolewa nikiwa "mwanafunzi". nilikuwa bado namtreat mume wangu kaa mshkaji tu na akiniudhi nambomoa huko 🙁 (japo kuwa nilikuwa older kwa huyo wako na nilikuwa nimeajiriwa chuoni)
nilipomaliza shule tu, nilijikuta nakuwa more responsible, nampa respect yake anayostahiki, namstahamilia sana
so kubali ulezi kaka......usikasirike mno....wanawake ndo tulivyo
teh teh chrispin anaweza kuomba umrudishie dada yake
Lol! Mi na bwashee ni marafiki zaidi ya ushemeji. Siwezi kumnyang'anya rafiki yangu dada yangu. Kwa mantiki hii nakufahamisha na kuwaahidini wapwa na mabinamu zangu wote, sitakaa kimya nikishuhudia dada yangu na rafiki yangu wakisarambatika. Naliheshimu penzi lao na nalitakia mema.
Binamu Chrispin this time you will need to grow up and ensure Geof has peace at the house especially becouse you are involved directly🙁
TUNDIKA MIMBA atatulia tuu.
sioni kitufe cha senks, nilitaka nikutwangie. kikirusi tu ntatwanga.To this I WILL.
uzazi na vitokanavyo na uzazi ni mpango wa mungu!
Mpwa kama kuna kitu kinawapa jeuri kubwa hawa watu ni ndoa, mimi ndio maana ninaishi na mtu mwaka nne sasa hata discussion ya kuhusu ndoa siruhusu ianze maana visa kama hivyo hawezi kuleta kwenye u boifrend na ugelfrend.
Ohh my dear Shem Geoff,Usikate tamaa atabadilika tu.Kumbuka viapo vya siku ile kanisani uliposema for better for worse till death do us apart!
endelea kutafuta mbinu za kumrejeza,Pengine anza kwanza kuchunguza zaidi kiini cha hayo matatizo yake nini.huwezi jua pengine ww ndio sababu.Ukijua kiinu cha tatizo utaweza kusolve kirahisi.
Usikimbie kukata tamaa wakati hujafanya vya kutosha kurekebisha.Ila na huo ushauri sijui kwa kaka,wifi,jirani jitahidi kuepuka na au kuwa makini zaidi.Nakwambia kweli Daktari mkuu wa ndoa yako ni wewe mwenyewe na huyo honey wako.Ndio ukubwa huo jikaze,na ukifanikiwa kusolve nakwambia you will be the Hero na utakuwa umepata experience na kuongeza bond ya upendo zaidi kati yako na mkeo.
be blessed na Mungu awasaidie.
inapobidi fanya mkuu, usisubiri mungu coz alishasema jiwezeshe nikuwezehae hahaaaaa,
Geoff,
Pole sana kwa hali/matatizo unayopitia kwa sasa. Kwa kweli ndoa haina operators manual ya kusema if you go by the book everything will be alright. Cha muhimu sana kwenu ni mawasiliano na pia kusameheana pale mnapokoseana. Nadhani mkeo kaamua kukuchunia kwa sababu ulijaribu kuacha njia yenu ya mawasiliano ya siku zote (baina yako na yeye) na kwenda kumshirikisha third party ambaye ni kaka wa mkeo(shemejio).
Nina uhakika we ulitegemea mambo yangeenda sawa kwa kuwa labda anmheshimu sana kaka yake na hivyo angemsikiliza - kwa kufanya hivyo ulimdhihirishia kwamba wewe hujiamini kwamba unao uwezo wa kumuambia jambo na akakusikiliza(hii ni weakness).
Kwa sasa nadhani ujitahidi kwanza uimarishe njia zenu za mawasiliano, muwe wawazi katika maongezi yenu.
Muhimu zaidi ni kwamba hakuna hata mtu mmoja zaidi yako wewe na mkeo ambaye anaweza kuyafanya maisha yenu yawe heaven, I tell you hata wazazi au wachungaji hawana huo uwezo cos hayo ni mambo ya ndani yenu na mnayajua vizuri nyie wenyewe. Try as much as possible to solve your issues by yourselves....
Good luck...
Pole sana kaka, unajua wakati mwingine wanawake huwa wanasema wanaume ni wakatili, lakini wao ndio wakatili mara 100 na wanaweza kuharibu kila kitu katika future ya mwanaume. Sasa tazama jamaa anavyoteseka kisa ndoa, mara nyingi huwa najiuliza huyo mke wangu atakuwa na tabia zipi ili haya ambayo tunaona kama ni experience kwa wale walioingia tayari kwenye ndoa. Pole sana mkuu. Sasa nayakubali maneno ya Fidel80 kuwa bado yupo yupo kwanza. Pole sana bro inabidi umuombe Mungu sana aweze mkubadilisha wife wako na pia washirikishe washenga wenu au bibi/babu au shangazi/mjomba ili kuokoa ndoa yako, maana inaonyesha unampenda sana mkeo lakini yeye hajui kuwa anapendwa. Kuna wenzake wanatafuta mtu wa kumbembeleza lakini hawapati lakini yeye anaichezea hiyo nafasi adhimu katika ulimwengu wa leo wa mapenzi
UNFAIR ADVISE to our friend, cousin and my shemeji who needs FAIR ADVISE in this DIFFICULT TIME. Please APOLOGISE!
You have said it.
Nitahitaji busara zako kwenye kazi ya kuinusuru ndoa ya shemeji yangu na dada yangu. Utakuwa mmoja kati ya watu watakaoumia sana endapo ndoa hii itavunjika. Nami ntaumia sana nikikuona unaumia. So lets save our souls together.