...Punda haendi sharti kwa viboko mkuu!! Ukimchekea nyani utavuna mabua!![/QUOT
Na wewe unaongea hivi probably hujui maana ya ndoa, mke hafukuzwi au kupigwa kisa kanuna babu, kama mkeo wamuona kama punda thats your problem, i belive G married a beautiful woman who is inteligent and she knows what she is doing.
Thanks! Thanks! Carmel, u always give good advice! natamani maneno yako yawe pia kwenye matendo yako. Achana na hao wanaomndanya mpwa atoke mnje sio dawa....
Mwanzo mzuri huu mkuu!bwa-shee huku naona mambo yameanza kuwa bam-bam!she is calling me again and again....!lol
bwa-shee huku naona mambo yameanza kuwa bam-bam!she is calling me again and again....!lol
Thank God! I can now sense happiness in your soul.bwa-shee huku naona mambo yameanza kuwa bam-bam!she is calling me again and again....!lol
bwa-shee huku naona mambo yameanza kuwa bam-bam!she is calling me again and again....!lol
Pole is she your wife? Kama siyo wife fukuza haraka. Kama ni wife anza kumpiga makofi apate akili. Inavyoonyesha anafanya makusudi uamue kuachana nae kitu ambacho yeye anakiona ni kheri
Ikiendelea na evidence zipo, basi mpe talaka yake aende kwao akatafute ataakokuwa anawafanyai huo ubwege wake, kama ni rafiki wa kike huyo mwache haina madhara kabisa.
bwa-shee huku naona mambo yameanza kuwa bam-bam!she is calling me again and again....!lol
humo humo mkuu nguli!Thanks! Thanks! Carmel, u always give good advice! natamani maneno yako yawe pia kwenye matendo yako. Achana na hao wanaomndanya mpwa atoke mnje sio dawa....
mimi biashara ya kutoka nje ya ndoa yangu HAPANA AISEE!i can't do that
.....YES!i am going through the hell,because she makes some silly mistakes and I FO0RGIVE,FORGET then we start over.but she keep making mistakes kila kukicha.
THE WORST PART OF MY MARRIAGE NI KWAMBA,nilipojaribu kumshirikisha kaka yake ili amshauri kuwa makini nimeibua tatizo jingine kubwa.she can't talk to me for three days now.na ananiita mnafiki,na mbeya.nikimwambia tukae tujadili mahusiano yetu hataki tena.ni visilani kila kukicha.
i am going through the hell!i can't keep quite just like that.i have done so much to fight for what belongs to me!
haaa happy for u baby boy, haya ndio mambo tunayotaka kuyackia, sio watu watibuke waliko waje na ishu zao za kushoto kushoto hapa, wanadhani kupenda/kupendwa mchezo, mtu hawezi acha apendacho/kimpacho raha maishani kwa vitu vicvyo na kichwa wala mguu, enjoy maisha na mrembo wako baby huyo ndio chaguo lako.
See? I told you. Niko nachapa maombi na mchumba wangu ZD. Weekend mkienda Bagamoyo kutekeleza ushauri wa Binamu Nguli, don't hasitate kuweka kituo maeneo ya Boko. You and sis need my blessings. You kno wora i mean? (quote from Nguli's best friend)
...Nikubali mwanamke anipe stress kisa ndoa? kama jamaa alimshauri wakae chini wayazungumze akaishia kumtusi na kumbeza kuwa mnafiki...Mnategemea nini? Eti ndoa? eti mapenzi...you people!!!Thanks! Thanks! Carmel, u always give good advice! natamani maneno yako yawe pia kwenye matendo yako. Achana na hao wanaomndanya mpwa atoke mnje sio dawa....
humo humo mkuu nguli!
mimi biashara ya kutoka nje ya ndoa yangu HAPANA AISEE!i can't do that
yaani hapa chukua tano bro! maana watu hawajui ukimega na wa kwako atamegwa tuu soon or later, what goes around comes around...
Geoff,
Hiyo siyo hell bana... waulize wengine, hiyo ni chachandu tu!!!
Geoff,
Hiyo siyo hell bana... waulize wengine, hiyo ni chachandu tu!!!
nb:minutes za kikao kilichopita zipo tayari,nitazituma vipi?(samahani kwa kuchepuka kidogo nje)
Dada N ujue tunatofautiana.Si unajua ukipenda sana unaweza ambiwa umewekewa limbwata? Isitoshe Geoff ndoa bado ni changa,hivyo mambo kama hayo akifanyiwa na Mpenzi roho inauma sana.thnx so much ma bro kwa uelewa wako, ndio hapa nasema mie cjaona ishu hapa hivi mie naviitaga vijimambo vijimambo tu.