I'm going through hell!...should i keep going?

 
bwa-shee huku naona mambo yameanza kuwa bam-bam!she is calling me again and again....!lol
Thank God! I can now sense happiness in your soul.
AAh men, you cant live without us, and vise versa
 
bwa-shee huku naona mambo yameanza kuwa bam-bam!she is calling me again and again....!lol

See? I told you. Niko nachapa maombi na mchumba wangu ZD. Weekend mkienda Bagamoyo kutekeleza ushauri wa Binamu Nguli, don't hasitate kuweka kituo maeneo ya Boko. You and sis need my blessings. You kno wora i mean? (quote from Nguli's best friend)
 

yaani Caroline inaelekea hujaolewa wewe, haya mambo mbona ya kawaida kabisa kwenye ndoa...talaka haitolewi kwenye mambo kama haya na mwanaume kupiga mkewe ni u coward tu, Geoff ukimsikiliza Carol kitumbua chako kitaingia mchanga sasa hivi
 
bwa-shee huku naona mambo yameanza kuwa bam-bam!she is calling me again and again....!lol


haaa happy for u baby boy, haya ndio mambo tunayotaka kuyackia, sio watu watibuke waliko waje na ishu zao za kushoto kushoto hapa, wanadhani kupenda/kupendwa mchezo, mtu hawezi acha apendacho/kimpacho raha maishani kwa vitu vicvyo na kichwa wala mguu, enjoy maisha na mrembo wako baby huyo ndio chaguo lako.
 

Geoff,

Hiyo siyo hell bana... waulize wengine, hiyo ni chachandu tu!!!
 

Kila napotaka kukutwanga thanks, kale kadude kanapotea. Ngoja nikutwangie kwa hapa. THANKS!
 
See? I told you. Niko nachapa maombi na mchumba wangu ZD. Weekend mkienda Bagamoyo kutekeleza ushauri wa Binamu Nguli, don't hasitate kuweka kituo maeneo ya Boko. You and sis need my blessings. You kno wora i mean? (quote from Nguli's best friend)

ahahahahahahahah!

got it right!certainly zanzibar by saturday evening.au huko huko bagamoyo!itategemea na mood yake kwa siku hiyo.

nb:minutes za kikao kilichopita zipo tayari,nitazituma vipi?(samahani kwa kuchepuka kidogo nje)
 
pole sana kaka yote ni mapito tu
i think unahitaji sana kukae na mkeo atleast muongee
ukiona anazidi nenda kwa wazazi huku ukifanya uchunguzi ni kwa nini afanye hivyo, then jiangalie wewe mwenyewe ni wapi umefanya kosa
all the best brethren
God will make a way where seem to be no way
 
 
Geoff,

Hiyo siyo hell bana... waulize wengine, hiyo ni chachandu tu!!!

Chrispin mueleze shemejio G siri ya mafanikio.Mwenzio anaenda to hell wakati wewe kiulaini on your way to heaven!
 
Geoff,

Hiyo siyo hell bana... waulize wengine, hiyo ni chachandu tu!!!


thnx so much ma bro kwa uelewa wako, ndio hapa nasema mie cjaona ishu hapa hivi mie naviitaga vijimambo vijimambo tu.
 
thnx so much ma bro kwa uelewa wako, ndio hapa nasema mie cjaona ishu hapa hivi mie naviitaga vijimambo vijimambo tu.
nyamayao,
it looks like you dn't know how much it means to be in love with someone YOU REALLY LOVE
 
nb:minutes za kikao kilichopita zipo tayari,nitazituma vipi?(samahani kwa kuchepuka kidogo nje)

Hahaha! Hope ziko kwenye hardcopy. Lazima ziwakilishwe physically. This time tukiwa na she's zetu. Sijui mpwa Fidel atakuja na wangapi? Hahaha! Leo maeneo ya kati TANESCO wameyatembelea, mpwa hayuko hewani!
 
thnx so much ma bro kwa uelewa wako, ndio hapa nasema mie cjaona ishu hapa hivi mie naviitaga vijimambo vijimambo tu.
Dada N ujue tunatofautiana.Si unajua ukipenda sana unaweza ambiwa umewekewa limbwata? Isitoshe Geoff ndoa bado ni changa,hivyo mambo kama hayo akifanyiwa na Mpenzi roho inauma sana.
 
Pwa Crispin naona umesimama kidete kwenye maslahi ya ndoa ya dada yako, nimependa huu moyo wako hivi hauna hata ka cousin sister kengine ili yule anayeninyima access nimpige chini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…