cheusimangala
JF-Expert Member
- Feb 27, 2010
- 2,585
- 498
mhh kumbe wakina mama huwa mnaona mengi kwa vijana wa kileo?
Huyu bIbi sio siri amenivutia sana jinsi alivyo fit,bibi yuko mkakamavu hadi raha.
Mungu tusaidie mie na Uporoto wangu tukizeeka tuwe wakakamavu kama huyu grandy.
Mbibi kama huyu akienda kwa uchakachuaji na vijana wetu mabrazamen wa kileo wa breakfast sausage na lunch ya smashed potatoes si wanaweza bibi akawapelekesha hadi wakatoka mbio na boxer zao mkononi kweli??!!
duh! upo... long time no see..... lol naona umekuja kivingine.... ila duh bibi ni fullmasi nondo a.k.a "full mass in order"
Mie nikajua unasema upo in love na mimi!!? huh!!??
duh! upo... long time no see..... lol naona umekuja kivingine.... ila duh bibi ni fullmasi nondo a.k.a "full mass in order"
Huyu bIbi sio siri amenivutia sana jinsi alivyo fit,bibi yuko mkakamavu hadi raha.
Mungu tusaidie mie na Uporoto wangu tukizeeka tuwe wakakamavu kama huyu grandy.
Mbibi kama huyu akienda kwa uchakachuaji na vijana wetu mabrazamen wa kileo wa breakfast sausage na lunch ya smashed potatoes si wanaweza bibi akawapelekesha hadi wakatoka mbio na boxer zao mkononi kweli??!!
Chips mayai hizooo!
tena chipsi mayai za kwa bonge pale kona bar
may be in our next life!
kweli kabisa long time no see pia,
mbona niko kawaida au unamaanisha kivingine vipi?
Umeona jinsi bibi alivyo full ngwamba.hiyo sio wa kuchezea.
kumbe ndio maana yake!?
nah mamito nilimaanishat kivingine kwa hiyo photo..... i hope ukizeeka utakuwa kama huyo bibi.... ila uwache kula soseji moja as breakfast na sambusa mchana eti ndio lunch yako
Ha ha a Yule Bwana....Teh Kumbe bado Yupo nilimwacha December last year mara nikasikia kashatembea kumbe kasharudi...Mkurya yule.
Hamuwezi kwani mnatumika sana!!Huyu bIbi sio siri amenivutia sana jinsi alivyo fit,bibi yuko mkakamavu hadi raha.
Mungu tusaidie mie na Uporoto wangu tukizeeka tuwe wakakamavu kama huyu grandy.
Mbibi kama huyu akienda kwa uchakachuaji na vijana wetu mabrazamen wa kileo wa breakfast sausage na lunch ya smashed potatoes si wanaweza bibi akawapelekesha hadi wakatoka mbio na boxer zao mkononi kweli??!!