patience gani?.... no nation has benefited from prolonged warfare......resources are wasted, prices go up and morale wains all to the detriment of the nation.
sasa unfortunately nyie wanawake kutuendesha detriment ni kwamba mnaishiwa kuchezewa wengi wenu.
kama ni kweli oa kabisa
wanawake siku hizi ni 'gusa unate'
kama unawasha taa naye anawaka hapo hapo.
Kwa kifupi wa kufuatilia hawapo tena labda kama kapigwa na shida anataka kukuchuna tu katika kipindi hiki cha kuporomoka kwa shilingi
‎10 years ago..life had no complexity!
You need to make a move to a girl,pick one of whitney or celine's tracks,attach part of the lyrics kwenye a 500 sh card,relax at home subiria majibu in half an hour..whch are 98% positive!(Enzi hizi ni uwezo wako binafsi wa kuhendsamisha)
Sasa siku hizi kumpata mwanamke hata wa temporary utasema unafuatilia kuandikisha kampuni TRA
-msumbue FB (JF if exists)
-muombe dials:lol:\:lol:
-mvalie pamba
-mpeleke icecream mlimani city
-mpeleke beach
-mnunulie vocha(kwao maduka hamna)
-mlipie kibajaji na marafiki zake
-mwisho anakuambia anakupenda so mvumilie amuache boyfriend wake(kumbe ulikuwa unahudumia mtu wa watu)
Umeanza kumtokea form III anakuja kukubalia chuo mwaka wa kwanza,boom likiisha mwezi unaofata anakutosa hadharani 🙁
Na bado hatukomi tu.. khaa..!!!
alafu unajua hawa mie dawa yao moja tuu swali la muhimu..unatoa utamu?
akinitosa namcheki vizuri alafu usiku naenda mpigia nyeto...kesho nikipitana nae ...namfyonza huku nasema ah wewe nilishakukula utamu zamaaaaniiiiii akili mwangu.
alafu unajua hawa mie dawa yao moja tuu swali la muhimu..unatoa utamu?
akinitosa namcheki vizuri alafu usiku naenda mpigia nyeto...kesho nikipitana nae ...namfyonza huku nasema ah wewe nilishakukula utamu zamaaaaniiiiii akili mwangu.
mmmh nyie....