kipindupindu
JF-Expert Member
- Dec 16, 2010
- 1,053
- 170
Seriously naona ndovu hazipandi nikiwa mwenyewe.
Pleeez drinking budies !! Tuungane jamani.
Nipo maeneo ya philips Arusha.
Lolz!!Kama bili juu yako nakuja sasa hivi!
Kama bili juu yako nakuja sasa hivi!
asubuhi saa tatu asubuhi tena jumapili unaanza na ndovu??:hand:
Seriously naona ndovu hazipandi nikiwa mwenyewe.
Pleeez drinking budies !! Tuungane jamani.
Nipo maeneo ya philips Arusha.
ukweli ni kwamba namalizia nilianza juzzz.
kweli bia haona bakteria
Ooops! Kweli wewe KIPINDUPINDU!!
hilo sio tatizo.nnachotaka ni kuweka heshima baa with my buddies!
We nawe Moshono badala ya kwenda town?Mi niko Mwanama...tupitiane tukale bata twn!Aisee shuka basi mpaka maeneo ya moshono - ZION PUB