I'm Looking for a Yard in Dar

Kingo

JF-Expert Member
Joined
May 12, 2009
Posts
856
Reaction score
395
I'm looking for the yard which can accomodate at least 100 cars, along a big street of Dar es salaam only, rent should not be more than usd 2800 per month.
PM accepted and given high priority.
 
city center au ''surbub'' areas?
 
From city centre to the nearby vicinity - e.g along Ali Hassan Mwinyi Road all along to Mwenge, Morogoro Rd to Ubungo or Nyerere Rd to Pugu ind. area
 
Niliiona jana wakati nipo katika pitapita zangu mitaa ya ubungo, NELSON MANDELA ROAD ila sikumbuki kwa makini maeneo halisi, kama unaelekea ubungo iko mkono wa kushoto, kuwa makini ukifika maeneo ya katikati ya EPZA NA DARAJANI TANESCO, in between there, unaweza ukaiona
 

Mkuu asante, but am looking for one to rent, (ambayo ni tupu ya kukodisha) au eneo la wazi la kufanya yard
 
Ninayo yard ya gari hadi 120 but rent ni USD 3500, security unajitegemea na umeme unalipa ww,unalipa per month but unaweka deposit ya 3 months
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…