I'm so lonely!!!

Vene

Member
Joined
Oct 16, 2011
Posts
93
Reaction score
42
Maisha haya! Ila upweke mbaya saaana! Ila kuna siku moja utaisha tu! Na hiyo siku imekaribia!
 
Tegemea kupata nyama mbichi na iliyooza bila kusahau utumbo.
 
vene PM zimefika ngapi? subiri wengine sasa hiv kwao ni usiku wa manane hawajaamka
 
cc Wendie
 
Last edited by a moderator:
ina onyesha wew. mbaguzi dat y? upo alon Ryt now. mdada jipang upy
 
Mbwembwe nyingiiiiiii mwishoni mnaishia kutafunwa tu kama big G...eti jinsia nyingine,awe singo,above 34 na msomi km mimi...wee kama issue ni kuwa loney kuna vijana wadogo tu waliozaliwa wanasema,watakupa changamoto kuliko ambazo ungepewa na hao decent Fab unaowahitaji ambao wengi ni waume za wenzio!
 
Dah mi ndo nishakukosa kwa hiyo condition ya umri dah! Haya 34 singles mpooo....?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…