NB:watakao kuPM harakaharaka hawana kazi...wait for me.Jamani, hamjambo? Seriously, I am so lonely. Hebu jamani ajitokeze mtu hapa tuwe friends, tuwe tunachat tu jamani. Mie mdada, huyu friend wangu awe jinsia nyingine yaan mkaka ambaye ni single. Awe mtu mzima jamani (matured) na awe above 34 yrs. Awe msomi, kama mimi na awe decent kama mimi. Angalau nichangamshe akili yangu jamani loh! If interested, send me a private message. Sitanii jamani!
Serious niko below 34 and above 30 ila im interested.I see!
not alwayz the case....Tegemea kupata nyama mbichi na iliyooza bila kusahau utumbo.
sio mbwembwe ni hali halisi tu. Concerns zako nyingine I have just ignored.Mbwembwe nyingiiiiiii mwishoni mnaishia kutafunwa tu kama big G...eti jinsia nyingine,awe singo,above 34 na msomi km mimi...wee kama issue ni kuwa loney kuna vijana wadogo tu waliozaliwa wanasema,watakupa changamoto kuliko ambazo ungepewa na hao decent Fab unaowahitaji ambao wengi ni waume za wenzio!
Jamani, hamjambo? Seriously, I am so lonely. Hebu jamani ajitokeze mtu hapa tuwe friends, tuwe tunachat tu jamani. Mie mdada, huyu friend wangu awe jinsia nyingine yaan mkaka ambaye ni single. Awe mtu mzima jamani (matured) na awe above 34 yrs. Awe msomi, kama mimi na awe decent kama mimi. Angalau nichangamshe akili yangu jamani loh! If interested, send me a private message. Sitanii jamani!
Jamani, hamjambo? Seriously, I am so lonely. Hebu jamani ajitokeze mtu hapa tuwe friends, tuwe tunachat tu jamani. Mie mdada, huyu friend wangu awe jinsia nyingine yaan mkaka ambaye ni single. Awe mtu mzima jamani (matured) na awe above 34 yrs. Awe msomi, kama mimi na awe decent kama mimi. Angalau nichangamshe akili yangu jamani loh! If interested, send me a private message. Sitanii jamani!
Tegemea kupata nyama mbichi na iliyooza bila kusahau utumbo.
Jamani, hamjambo? Seriously, I am so lonely. Hebu jamani ajitokeze mtu hapa tuwe friends, tuwe tunachat tu jamani. Mie mdada, huyu friend wangu awe jinsia nyingine yaan mkaka ambaye ni single. Awe mtu mzima jamani (matured) na awe above 34 yrs. Awe msomi, kama mimi na awe decent kama mimi. Angalau nichangamshe akili yangu jamani loh! If interested, send me a private message. Sitanii jamani!
Kwa nn wamuombea hivyoTegemea kupata nyama mbichi na iliyooza bila kusahau utumbo.
Kwa nn wamuombea hivyo